GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hali ya taharuki na vurugu vimeibuka katika Mtaa wa Elkiroa Kata ya lemara Mkoani Arusha baada ya Wananchi kuweka kambi katika Familia ya Kijana Elibarik Tarimo kwa siku tatu baada ya kudaiwa kuwa Ndugu wamegoma Kijana huyo asizikwe katika eneo alilokuwa akiishi baada ya kutelekezwa na kulala kwenye eneo panapoisshi mbuzi na ng’ombe akiwa Mgonjwa.
Wananchi waliofurika katika eneo hilo wamesema Kijana huyo alikuwa akiumwa lakini Familia ilikataaa kumhudumia ambapo Majirani walianza kuchanga fedha.
Hata hivyo Mzee wa ukoo ameiingia kwenye matatizo na kuokolewa na Polisi ambapo Wananchi wamekubaliana waende katika eneo la Morovian ili waje na majibu ya kwamba atazikwa sehem gani.
===
Siku zote Maishani Watu wema sana na wenye Uchungu hasa na mwenye Shida / Uhitaji huwa ni Watu baki pekee.
Wananchi waliofurika katika eneo hilo wamesema Kijana huyo alikuwa akiumwa lakini Familia ilikataaa kumhudumia ambapo Majirani walianza kuchanga fedha.
Hata hivyo Mzee wa ukoo ameiingia kwenye matatizo na kuokolewa na Polisi ambapo Wananchi wamekubaliana waende katika eneo la Morovian ili waje na majibu ya kwamba atazikwa sehem gani.
Siku zote Maishani Watu wema sana na wenye Uchungu hasa na mwenye Shida / Uhitaji huwa ni Watu baki pekee.