chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Magereza yanafunguliwa, magereza ya jeshi la magereza tunaona kwa macho. Je, ndio huyu au tusubiri mwingine, naye akajibu, vipofu wanaona na viziwi wanasikia!
Jela kubwa kabisa kuliko zote,jela ya kiuchumi,jela iliyoifunga nchi nzima nayo inakwenda kuvunjwa makufuli yake. Mwendazake alijiapiza kutufanya tulime kwa meno na kutukomesha.
Sasa kinachofuata ni nchi nzima kutabasamu na hela kuanza kuonelana mtaani. Akina baba watapokelewa na familia kwa tabasamu.
Wakati was wajasilia mali kuacha biashara na kukimbilia ajira za serikali unageuka, sasa mambo yanageuka, watu wataacha ajira na kwenda kujiajiri, hii itatoa fursa kwa wanaohitaji ajira.
Viva Samia Viva!
Code-SSH-2025
Jela kubwa kabisa kuliko zote,jela ya kiuchumi,jela iliyoifunga nchi nzima nayo inakwenda kuvunjwa makufuli yake. Mwendazake alijiapiza kutufanya tulime kwa meno na kutukomesha.
Sasa kinachofuata ni nchi nzima kutabasamu na hela kuanza kuonelana mtaani. Akina baba watapokelewa na familia kwa tabasamu.
Wakati was wajasilia mali kuacha biashara na kukimbilia ajira za serikali unageuka, sasa mambo yanageuka, watu wataacha ajira na kwenda kujiajiri, hii itatoa fursa kwa wanaohitaji ajira.
Viva Samia Viva!
Code-SSH-2025