Ndugu wawili waliofia mikononi mwa Polisi kwa kukiuka 'curfew' wazikwa

Ndugu wawili waliofia mikononi mwa Polisi kwa kukiuka 'curfew' wazikwa

game over

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2016
Posts
10,727
Reaction score
24,840
So sad though. Police wa Kenya wanamaliza wakenya kuliko Corona yenyewe. Vijana wawili ndugu wa kuzaliwa

IMG_0483.jpg

(Embu brothers) Emmanuel Mutura 19 na Benson Njiru 23 years waliofikwa na umauti wakiwa mikononi mwa polisi hatimae wamepumzishwa kwenye nyumba Yao ya Milele.

Vijana Hawa walifikwa na umauti kwenye mazingira ya kutatanisha wakiwa mikononi mwa polisi baada ya kukiuka taratibu za Curfew. Huu ni mwendelezo wa matukio mengi ya ukatili na mauaji yanayofanywa na jeshi la polisi Kenya ndidi ya wananchi wa kawaida. wapumzike kwa Amani Emmanuel na Benson.

Walaaniwe wote waliohusika kukatisha Maisha ya vijana Hawa wadogo.

IMG_0482.jpg

IMG_0481.jpg

IMG_0479.jpg


IMG_0478.jpg
 
Hili tukio la Kianjokoma limeniuma sana. Ila ndio mwanzo tu wa mwisho wa uvumilivu wetu sisi vijana nchini Kenya. Kitaeleweka tu hivi karibuni nawahakikishia na hadi damu itamwagika ili haki ipatikane.

Polisi wanadai kwamba Emmanuel na Benson waliaga dunia baada ya kuruka kutoka kwa gari la polisi. Lakini miili yao ilipatikana kilomita 18 kutoka kwa 'route' ambayo polisi walitumia kusafirishia waliokamatwa hadi kituo cha polisi.

Zaidi ya hayo, 'post-mortem' ilionyesha kwamba walikuwa na majeraha ambayo hayaendani na maelezo ya polisi kuhusu yaliyojiri usiku huo. Pumbavu zao hao mbwa!
 
Wapumzike kwa Amani Marehemu wote
 
Hili tukio la Kianjokoma limeniuma sana. Ila ndio mwanzo tu wa mwisho wa uvumilivu wetu sisi vijana nchini Kenya. Kitaeleweka tu hivi karibuni nawahakikishia na hadi damu itamwagika ili haki ipatikane.

Polisi wanadai kwamba Emmanuel na Benson waliaga dunia baada ya kuruka kutoka kwa gari la polisi. Lakini miili yao ilipatikana kilomita 18 kutoka kwa 'route' ambayo polisi walitumia kusafirishia waliokamatwa hadi kituo cha polisi.

Zaidi ya hayo 'post-mortem' ilionyesha kwamba walikuwa na majeraha ambayo hayaendani na maelezo ya polisi kuhusu yaliyojiri usiku huo. Pumbavu zao hao mbwa!

So sad, Those innocent boys hawaonekani kuwa na ubaya na mtu yoyote
 
Aisee bado vijana wadogo Sana,pole sana Kwa familia yake.
 
Majirani zetu ndiyo wako serious na COVID-19!

Hii siyo mara ya kwanza polisi kuua wakaidi wa curfew.
 
Back
Top Bottom