kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Mungu fundi kwelikweli. Yanga (Damas) kapigwa 2-0 na Simba (Ndumbalo) ni kama tu wamepigwa pia 2-0 ukiondoa bao la kubahatisha la Shabalala. Nchi imetulia hakuna vuvuzela hata moja lilisikika mtaani, ni utulivu kwa kwenda mbele.
Yanga wanasema walifungwa kwasababu waliwakosa wachezaji wake hatari kama Mzize, Job, Aucho na Boka, Je, Simba walitoa kisingizio gani?
Tuache ushabiki lopolopo, tuzipe timu zetu ushauri wa kimpira utakaowasaidia kuvuka vizingiti.
Yanga wanasema walifungwa kwasababu waliwakosa wachezaji wake hatari kama Mzize, Job, Aucho na Boka, Je, Simba walitoa kisingizio gani?
Tuache ushabiki lopolopo, tuzipe timu zetu ushauri wa kimpira utakaowasaidia kuvuka vizingiti.