kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #21
Kasi ya Kabudi ni ndogo sana. Mama ni muumini wa utawala wa sheria, wanaomzunguuka ndio wanamkwamisha tu. Kwaasili wakinamama hawapendi kashfa na aibu. Hata hili la watu kutekwa na kuiba kura ni aibu kwa utawala wa sheria ambao mkuu wake alikuwa Kabudi.Unaweza kuniambia sababu ya msingi iliyomuondoa NDUMBARO kwenye WIZARA YA UTAMADUNI NA MICHEZO?