WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,433
- 1,442
Jaman kutokana na kuchelwa kwa ajira,kuna ndugu yangu ameanza kupata wasiwasi kama walimu walimu wa kiswahili watapangiwa mwaka huu maana nasikia mwaka jana kuna baadhi ya walimu waliachwa, mwenye ufahamu kuhusu hili walimu wa kiswahihili walipangiwa wote mwaka jana?
Asanteni.
Asanteni.