Natumai mlisha wasiliana leta mrejeshoPiem yangu umeiona...??[emoji30][emoji30]
Sifa na vigezo umekosawale tunaotaka kuoa usiku tunaacha asubuhi tunaruhusiwa kuja piemu?
Hii bahati kwako umeambiwa mjasiliamali na vijana wa Sasa mnavyopenda kitongaPicha Kwanzaa tujue tunamsaidiaje
Umeambiwa mjasiliamali wewe tuma maombi ukalelewe hukoDu! Miaka 36,iyo mechi lazima itakuwa inaanza na 2-0.kwa iyo mlengwa jiandae na kuanza kulea watoto 2 wa pembeni
Dah... Dada zetu wa pwani (tanga,dar,zanzibar) jilipueni basi si mnaona wenzenu wa mwanza???Hello humu ndani,ndugu yangu wa Kike anatafuta mume kuanzia miaka 36 - 45 awe mkristo na ikiwa yuko Mwanza itakuwa ni vzr zaidi,maana yeye yuko mwanza.Umri wake ni 36,kabila msukuma,ni mjasiliamali na anafaa kuwa mke haswaa.ukitaka kumfahamu zaidi Njoo inbox nikuunganishe naye.
a
AmenMungu ampe haja ya moyo wake.
Habar, umeshapata?Hello humu ndani,ndugu yangu wa Kike anatafuta mume kuanzia miaka 36 - 45 awe mkristo na ikiwa yuko Mwanza itakuwa ni vzr zaidi,maana yeye yuko mwanza.Umri wake ni 36,kabila msukuma,ni mjasiliamali na anafaa kuwa mke haswaa.ukitaka kumfahamu zaidi Njoo inbox nikuunganishe naye.