Jackline Bahath
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 681
- 627
Wepesi gn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.hebu tumsaidie dada yetu apate mume kwnz,hilo ndio lengo la post mkuuNjoo huku nikuonyeshe njia...
Ebu tuwaachie yao mkuu, uebu uje huku nami tuyajenge. Naona bahati imekuangukia wewe..[emoji12] [emoji12] [emoji12]Hahaha.hebu tumsaidie dada yetu apate mume kwnz,hilo ndio lengo la post mkuu
Eheee!Ebu tuwaachie yao mkuu, uebu uje huku nami tuyajenge. Naona bahati imekuangukia wewe..[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Bahat km jina langu,😂😂Eheee!
We umeshaolewa?Hello humu ndani,ndugu yangu wa Kike anatafuta mume kuanzia miaka 36 - 45 awe mkristo na ikiwa yuko Mwanza itakuwa ni vzr zaidi,maana yeye yuko mwanza.Umri wake ni 36,kabila msukuma,ni mjasiliamali na anafaa kuwa mke haswaa.ukitaka kumfahamu zaidi Njoo inbox nikuunganishe naye.
Du,hivi wewe ni wa Kike eeh?Atakuwa ameshatumika sana
Kwa huo umri sidhn hata ka labour anaingia huyo
Umri umefanyaje?Mmmhhh!!! Huo umri huoo
Wewe shida yako ni nini? Au nawewe unatafuta mume?Sasa hivi ana 38
We ushapata mume?Wewe shida yako ni nini? Au nawewe unatafuta mume?
Kumbe wewe ni mdada?nisamehe kwa kukujibu vibaya huwa sigombanagi na wadadaWewe shida yako ni nini? Au nawewe unatafuta mume?