Ndugu yangu anamwambia mke wangu kuwa sisi tunalala tu hatufanyi mapenzi

Tafuta kwanza evidence kuhusu hilo kabla ya kufanya uamuzi wowote, kama ana tabia hiyo kuna siku nyingine atarudia, hata kama si maneno hayo ataongea mengine yanayoendana, ikiwezekana mwambie Mkeo amrekodi, ukijiridhisha kuwa ni kweli mchane alafu mtimue hapo kwako.
 
Mfukuze
 
fukuza kenge huyo...
 
Fukuza hapo nyumbani, ndugu anakueletea usiku
 
Mambo ya kufatana fatana na ndugu ni ya nini tena karne hii?? Tena ndugu mtu mzima anakuja kufanyaje kwako?
 
Je we ni kapuku?... Ukiona mtu anakudharau namna hyo bas kakuona we ni kapuku... Raise ua game kaka
 
Mrudishe ulipomtoa..mtu anawaza ngono tu hawezi kukupa idea za maendeleo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ amefata hayo au anataka kukusaidia kazi
 
Hizi stori za kiffaller msilete humu.
Utafugaje mpumbavu kama huyo?

Huyo nampa masaa awe ameondoka.
Tatizo la wabongo ni unafiki unashindwa kumchana mtu unaleta jf...faller wewe
Ungekuwa uzi wa kifala mods wangeufuta na usingeusoma.

Heshimu nyuzi za watu bwashee ukikosa cha kuchangia kaa kimya fala wewe.
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Mke wako anaonekana anapenda sana ngono sema anashindwa akwambie vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…