Ndugu yangu anaongea usiku na wakati mwingine anainuka na kufanya vitendo, naomba ufafanuzi wa hili jambo

Ndugu yangu anaongea usiku na wakati mwingine anainuka na kufanya vitendo, naomba ufafanuzi wa hili jambo

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
Habarini!

Nina ndugu yangu yeye huwa anaongea mwenyewe usiku. Kwa mfano tumelala saa 6 na nusu lakini ikifika saa 7 kamili utamsikia anaropoka tena atasimama kabisa ataongea maneno utayaelewa mengine huyaelewi au akiwa anaongea atanyoosha na kidole as if anamnyooshe mtu anae ongea nae na mara nyingi huwa kama anakemea
akiamka asubuhi tukimwambia usiku ulikuwa unaogea na nani hakumbuki au utasikia Aaah acha tu hasemi.

Kuna siku hali hiyo hiyo tumelala ghafla akaamka akaenda hadi mlangoni kufungua mlango aondoje tukastuka kumwambia unaenda wapi haelewi tukamnasa kibao kama vile alizinduka ati eeenh kuna nini na yeye akasema haelewi ndio tukamwambia asifanye hivyo tena toka hapo hajafanya tena.

Siku yingine tumelala ghafla akafoka akaanza kuchomoa Neti yote huku anaongea ghafla sijui alijistukia akaichomeka halafu akakaa kimya ndio akalala.


Pia soma:Kutembea ukiwa usingizini
 
Habarini!
Nina ndugu yangu yeye huwa anaongea mwenyewe usiku..
kwamfano tumelala saa 6 na nusu lakini ikifika saa 7 kamili utamsikia anaropoka tena atasimama kabisa ataongea maneno utayaelewa mengine huyaelewi au akiwa anaongea atanyoosha na kidole as if anamnyooshe ma mtu wanae o
Ni mlokole?
 
Kwa namna ulivyo elezea hapa mbona inaonekana kabisa suala lenyewe limekaa kishirikina hilo,, kuna namna usiku ni kama huwa anakuwa na ugeni usio rasmi.

Jaribuni kuwa mnafanya naye maombi usiku kabla ya kulala na usiku wa kuanzia hata saa 8 mnaamka mnafanya tena maombi then mnalala,, muone matokeo yake yatakuwa vipi? 😎🤝🏽
 
s
Kwa namna ulivyo elezea hapa mbona inaonekana kabisa suala lenyewe limekaa kishirikina hilo,, kuna namna usiku ni kama huwa anakuwa na ugeni usio rasmi.

Jaribuni kuwa mnafanya naye maombi usiku kabla ya kulala na usiku wa kuanzia hata saa 8 mnaamka mnafanya tena maombi then mnalala,, muone matokeo yake yatakuwa vipi? 😎🤝🏽
hukrani
 
Poleni sana hiyo shida inahitaji huduma ya kiroho zaidi. Mungu atasaidia litaisha taadhari inatakiwa sana mfunge milango vyema bahati mbaya inaweza kutokea akapotea msimpate. Mungu awasaidie mpate suluhisho ktk hiyo shida.
 
Ila wabongo, exposure muhimu aseee.

Kitu kidogo tu kama sleepwalking - somnilimbunisn mnaanza kuwaza na kuhusianisha na maajabu.

Tuwe na tabia ya kutafuta documentary za mambo mbalimbali ili tuwe smart zaidi.

Tafuteni documentary, za usingizi na mambo yake mtaelewa. Kuna watu mfumo wao wa kuwapararaizi wakiwa wamelala una matobo baadhi ya masaa, so matokeo yake wanaweza kuongea au kufanya shughuli ndogondogo. Mfano kila mmoja ana uwezo wa kusogeza mguu, mkono, kujibinua akiwa kalala usingizi! Wangapi wanalala amegeukia huku anaamka amegeukia kule? Normal kabisa. Sasa wapo waliopitiliza ndio hao wa kuongea na kufagia, au kuosha vyombo.

Wapo wanyama kama mbayuwayu, analala akiwa anapaaa na nyangumi yeye analala akiwa anaogelea, anapanda juuu ya bahari anavuta hewa anarudi tena chini vyooote akiwa amelala usingizi mzito!!
 
 
Duh!
 
Back
Top Bottom