ndugu yangu anatatizo la mgongo.msaada jaman ili apone.

ndugu yangu anatatizo la mgongo.msaada jaman ili apone.

raji makuya

Member
Joined
Aug 22, 2014
Posts
58
Reaction score
4
mwanzon tulijua ni vidonda vya tumbo ila sasa amepima tena ameambiwa ana tatzo la mgongo ambapo anatakiwa apimwe zaid na kipimo cha MRI ambacho ni gharama mno. kama kuna dr mtaalam wa haya plzz anisaidie
 
mwanzon tulijua ni vidonda vya tumbo ila sasa amepima tena ameambiwa ana tatzo la mgongo ambapo anatakiwa apimwe zaid na kipimo cha MRI ambacho ni gharama mno. kama kuna dr mtaalam wa haya plzz anisaidie

pole sana kaka,hata kama kuna dr hapa hataweza kukusaidia chochote,cha zaidi ni kujichanga ili aende akafanyiwe mri coz hata dr hawezi kuprescribe matibabu bila kuona picha za mri pamoja na dr report ya dr wa vipimo.ni kweli ni gharama,nadhani kuanzia laki tatu na nusu kuendelea
 
Upo wapi?na umeonwa na physician ama physiotherapist??nakushauri uonwe na physiotherapist kwanza kabla ya kipimo anaweza kuwa msaada mkubwa
 
pole sana kaka,hata kama kuna dr hapa hataweza kukusaidia chochote,cha zaidi ni kujichanga ili aende akafanyiwe mri coz hata dr hawezi kuprescribe matibabu bila kuona picha za mri pamoja na dr report ya dr wa vipimo.ni kweli ni gharama,nadhani kuanzia laki tatu na nusu kuendelea

nashukuru mkuu. ni laki nne mpaka 1.3m
 
Back
Top Bottom