Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,435
- 4,245
Tangu Jf iondoke hewani jana na kurudi Leo... Watu tumepoteana kabisa... Wengine tuliacha ahadi zetu hewani hewani... Wengine waliacha miTongozo yao hewani hewani... Wengine ndio walikuwa kwenye kuelekezana wakutane wapi katika kusherehekea siku kuu hii adhimu kabisa ya muungano...
Sasa wengi wamejitokeza baada ya jf kurudi hewani lakini SIMUONI NDUGU YANGU Mshana jr.
Mshana jr UPO WAPI JITOKEZE TUKUONE
Sasa wengi wamejitokeza baada ya jf kurudi hewani lakini SIMUONI NDUGU YANGU Mshana jr.
Mshana jr UPO WAPI JITOKEZE TUKUONE