Yupo kuna sehemu nimekutananaeYupo!!??
Nipo ndugu yangu asante kwa kujali... Nilikuwa Msata kilingeni..... Tulikuwa na vikao vya hapa na pale lakini zaidi tulikuwa tunapambana damu isyo na hatia isimwagweTangu Jf iondoke hewani jana na kurudi Leo... Watu tumepoteana kabisa... Wengine tuliacha ahadi zetu hewani hewani... Wengine waliacha miTongozo yao hewani hewani... Wengine ndio walikuwa kwenye kuelekezana wakutane wapi katika kusherehekea siku kuu hii adhimu kabisa ya muungano...
Sasa wengi wamejitokeza baada ya jf kurudi hewani lakini SIMUONI NDUGU YANGU Mshana jr.
Mshana jr UPO WAPI JITOKEZE TUKUONE
Kuna watu walikamatwa huko? Walikosea nini?Asije akawa miongoni wa wale tisa waliokamatwa pale samora avenue
Si afadhali hewa....Amna hawezi kamatwa kizembe kiasi hicho... Kwanza ile unaenda kumshika tu unashangaa umeshika hewa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nipo ndugu yangu asante kwa kujali... Nilikuwa Msata kilingeni..... Tulikuwa na vikao vya hapa na pale lakini zaidi tulikuwa tunapambana damu isyo na hatia isimwagwe
Tangu Jf iondoke hewani jana na kurudi Leo... Watu tumepoteana kabisa... Wengine tuliacha ahadi zetu hewani hewani... Wengine waliacha miTongozo yao hewani hewani... Wengine ndio walikuwa kwenye kuelekezana wakutane wapi katika kusherehekea siku kuu hii adhimu kabisa ya muungano...
Sasa wengi wamejitokeza baada ya jf kurudi hewani lakini SIMUONI NDUGU YANGU Mshana jr.
Mshana jr UPO WAPI JITOKEZE TUKUONE
Ni wachache wenye fadhila kama wewe watu wanadhani hili limetokea kwa bahati mbaya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimeiona kazi yako/yenu... Hakika mmeifanya kazi maana leo yalikuwa mapumziko ya nguvu.. watu wengi walipitiwa na usingizi...
Wamekuja kustuka saa kumi jioni