Dah hivi unaanzaje mukpa kaka yako hela akushikie? We ni mtoto sana kiasi kwamba ukikaa nazo utanunua chips? Usimplaumu kaka yao, wewe ndo umefeli hapo. Ushalizwa lakini bado unampa pesa yako hahaha. Hebu simama mwenyewe kama mwanaume achana na kumshirikisha huyo kaka akoWakuu hopefully amjambo ngoja niende kwenye point ..
Nina Kaka yangu ambae ndie first born wafamilia .. nashindwa kumuelewa kabisa .. kila Ela yangu ikipitia mkononi mwake hua airudi Ni Mara kwa Mara ili tatizo linajirudia ..
Wapi Sasa ..hajawai nilipia ada yoyote na ata nikimwambia naumwa awez jitolea kunitibia mahana kunakipindi niliumwa issue ya yeye kuimaliza aliambia ukoo mzima adi nilishangaa Yan pesa ndogo yamatibabu mpaka kila mtu achangie kwel adi leo nikiumwa hua nahkikisha nagharimia mwenyew bill ikiwa kubwa nitahmbia ata washkaj bas yeye atackia tu taharifa juu juu ..Au pengne huko nyuma alishatumia pesa zake kukutibia ama kukusomesha ndio maana anakufanyia yote hayo
Jisimamie mwamba, uzuri we mwenyewe mwanaharakati mambo yatakaa t..Wapi Sasa ..hajawai nilipia ada yoyote na ata nikimwambia naumwa awez jitolea kunitibia mahana kunakipindi niliumwa issue ya yeye kuimaliza aliambia ukoo mzima adi nilishangaa Yan pesa ndogo yamatibabu mpaka kila mtu achangie kwel adi leo nikiumwa hua nahkikisha nagharimia mwenyew bill ikiwa kubwa nitahmbia ata washkaj bas yeye atackia tu taharifa juu juu ..