BAKSiku nyingi simuoni kupost humu! Yuko wapi BAK?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAKSiku nyingi simuoni kupost humu! Yuko wapi BAK?
OK MadameNilifahamiana nae hapa hapa jukwaani, hata sura yake siifahamu.
Kwa hiyo huna mawasiliano naye hivi karibuniNilifahamiana nae hapa hapa jukwaani, hata sura yake siifahamu.
We were close JF friends. alijitokeza baada ya uzi uliousema. Akasema alikuwa mbali kidogo. Then akawa active member! sasa kapotea tena
WalifokeanaLeejay49 na Mshamba Hachekwi walikosea nini?
Huws naona ni watu poa sana lakini wapo kwenye ban ya muda mrefu sana
Ili nilambwe ban namimiKweli?
Ilikuwaje?
Aiseeeee!!Hivi BAK sio Erythrocyte kweli?
Ili nilambwe ban namimi
Ban yangu ya mwanzo hadi sasa haikuzidi 24hrsDuh! Itakuwa kosa lao kubwa sana
Moja kafanya name calling mwngn sijui kafanyajeLeejay49 na Mshamba Hachekwi walikosea nini?
Huwa naona ni watu poa sana lakini wapo kwenye ban ya muda mrefu sana
Moja kafanya name calling mwngn sijui kafanyaje
ApanaName calling ni alifanya hivyo Leejay?