Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,869
- 787
Kwa hiyo Kajala na mwanaye wanagundu ndiyo maana hapati ubalozi tena?Yap mademu wanagundu sana. Hata wasanii wanatafuta kiki kipumbavu mwishowe wanaanza kukosa makampuni yakuwatumia. Mfano konde boy alipohama WCB alianza kupata matangazo mengi, mdamfupi akavimba na kuanza kutembea na malaya wa mjini mtokeo yake makampuni hayaongezi mkataba nae. Mbunye ni shida mzee
ila dogo mademu wamemlostisha sana....manake ulimbukeni ulimuingia na kumtoa kwenye ReliHasheem ni agemate was Stephen curry ushawahi muona curry aki flop au ushamuona James harden akiflop
Huo umri alio nao ndio umri yaani unakuwa guru kweli kweli kweye basketball
So unawacheki Alina Steph ,LeBron walivyo watabe kwenye game.
Huyo mzee hasheem niseme tu alipata bahati kucheza NBA sababu ya urefu wake but hakuwa na talent kabisa ya basketball kule NBA wanaitwa BUST nadhani yeye ni biggest bust of all time[emoji1787]maana alikuwa drafted namba 2 just imagine namba 2 yaani akitoka namba 1 ambaye ni Blake Griffin anafuatie yeye halafu James Harden ,Steph curry alikuwa namba 7 huko .
Jamaa kafanya NBA siku hizi wasiwe na mzuka na big men ukishakiwa na 7.2 footer hufai kwenhe ile game
Siku hizi hata 6.0 wanachukuliwa coz unakuta Wana skillz nyingi kuliko big men
6.0 anaweza dribble,pass,shooting ,defend, playmaking wakati big men Kama hasheem wataishia kuwa blockers [emoji1][emoji1787]
Hashema bhana .
Sure. Kina Wema wakala hela yake kiroho safiila dogo mademu wamemlostisha sana....manake ulimbukeni ulimuingia na kumtoa kwenye Reli
Umeongea ukweli mtupuYap mademu wanagundu sana. Hata wasanii wanatafuta kiki kipumbavu mwishowe wanaanza kukosa makampuni yakuwatumia. Mfano konde boy alipohama WCB alianza kupata matangazo mengi, mdamfupi akavimba na kuanza kutembea na malaya wa mjini mtokeo yake makampuni hayaongezi mkataba nae. Mbunye ni shida mzee
SanaaKwa hiyo Kajala na mwanaye wanagundu ndiyo maana hapati ubalozi tena?
Kesharud? Tulikuwa wote makongoTolu amechezea bahati sana ,wenzake ni mabilionea waliokuwa kwenye draft 2009 ila yeye anakuja TZ amechoka hana hata Escort za Mandinga.
Kesharud? Tulikuwa wote makongo
Ok thanks π, hivi ile safari ulishafanya? Pm. Yangu haifanyi kazi sijui kwaniniNadhani amerudi onetime kwa ajili ya kusupport Timu ya TZ kwenye mashindano ya Basket Ball(PAZI).
Pole,siyo PM yako tu,hata yangu na za baadhi ya wadau.Sijui mods hawalioni hili tatizo...?Ok thanks π, hivi ile safari ulishafanya? Pm. Yangu haifanyi kazi sijui kwanini
Jana nilikuwa mitaa ya donboscoNadhani amerudi onetime kwa ajili ya kusupport Timu ya TZ kwenye mashindano ya Basket Ball(PAZI).
Tz wale waliyokuwa na vipaji haswaTolu amechezea bahati sana ,wenzake ni mabilionea waliokuwa kwenye draft 2009 ila yeye anakuja TZ amechoka hana hata Escort za Mandinga.
Hili neno limekuwa likinitatiza miaka ya karibuni juu ya namna linavyotumika sasa na maana halisi tuliyofunzwa mashuleni. Kwa maana hiyo basi ningelipenda mtu yeyote yule atowe tafsiri sahihi ya neno Mzalendo na ni nani mzalendo? Shukran.Ataonekana tena akichezea Milwaukee Bucks ndugu yetu bado anaendelea kupambana na wachambuzi wanasema yupo kwenye good shape ya kuweza kumudu mikiki mikiki ya NBA.
Wabongo tuache unafiki wa kumbeza ndugu yetu huu mchezo alijifunzia ukubwani hatua hii aliyofikia sio ya kubeza hata kidogo na wachache sana wangeweza kufikia hapo alipofikia yeye
All the best Mtanzania mwenzetu. Uzalendo kwanza !
Tz wale waliyokuwa na vipaji haswa
Na walienda marekani hawakupata nafasi....huko yeye utolu ulimsaidia
Sema ndiyo hivyo,any way Acha arudi kucheza nyumbani
Ova
Ok thanks π, hivi ile safari ulishafanya? Pm. Yangu haifanyi kazi sijui kwanini
Write off yule aendelee kucheza Taiwan tuKati ya watu walionisikitisha ni TOLU "SABITI" ,Jamaa amechezea shilingi chooni.....Tumekosa fedha zake kwenye mzunguko huko TZ ,Mabilioni yake angekuwa anayatuma TZ yangetoa ajira kwa vijana.