Ndugu yetu Hashim Thabit now yupo Taiwan anacheza Basketball

Kwani nditi aliishia wapi mkuu
 
Jamaa hela Hana, angekuwa nazo tungemuona yupo na Mobeto mademu wengne type hzo
Hili ndio tatizo letu watu weusi hatutaki ku appreciate mwenzetu anapofanikiwa.

Hii self hate ndio inayofanya waafrica tusiendelee

Ndio maana leo hii tunaona vitu vya mzungu ni Bora kuliko vyetu hta km uhalisia haupo Ivo

Nawaonaga huko jukwaa la tech jinsi mnavyojisifia kumiliki vitu vya mzungu kana kwamba ndyo mungu wenu.
 
Mimi siyo shabiki wa huu mchezo hivyo niliamini Hashim atafanikiwa tu kutokana na urefu wake sielewi inakuaje anashindwa kuperform. Au urefu siyo kigezo katika huu mchezo?
Vigezo vipo vingi sio urefu Tu!.

Ndugu yetu kilichomuangusha ni lack of offensive skills kutokana na kuanza kucheza basket umri ukiwa ushaenda

All in all tunapaswa kumsifu hta kwa icho kidogo alichofanikisha.
 
Lini kitu cha mwafrika kikawa Bora kuliko cha Mzungu ? Labda ulaji wa makande na ugali.....
 
Mkuu jamaa kwa sasa anaonekana kukua kidogo sio kama zamani ,lile anguko la nba kuna kitu alijifunza ndio maana kwa sasa anajitahidi kurudi katika nafasi yake tumpe muda tuu
 
Yeye ataniombea lini?
Blessings zake zitakushukia Hadi wewe akifanikiwa

Kwa mfano akipata hela huko Taiwan akaja bongo na wazo la kujenga nyumba

Atakuja kwenye duka lako la hardware akakuunga matilio mbalimbali na wewe ukapata faida

Ivo ndio baraka zake zitakavyokuja kwako

Sasa ukimuombea mabaya maumivu hatopata pekee hata wewe yatakufikia kwa namna moja ama nyingine.
 
Maisha yangu yananishinda nimuombee mwenzangu
[/QU
Vigezo vipo vingi sio urefu Tu!.

Ndugu yetu kilichomuangusha ni lack of offensive skills kutokana na kuanza kucheza basket umri ukiwa ushaenda

All in all tunapaswa kumsifu hta kwa icho kidogo alichofanikisha.
Umenena vyema mkuu nba ngumu kutusuamaana kuna vijana miaka 18 -19, 20 wako moto mbaya ukienda na miaka yako 29,30 utuboi
 
Yaani katika watu milioni 60 wa Tanzania aje kununua dukani kwangu?hauko serious
 
Lini kitu cha mwafrika kikawa Bora kuliko cha Mzungu ? Labda ulaji wa makande na ugali.....
Na hii ndio sababu mwafrica akianzisha kitu chochote hafanikiwi kwa sababu ya mindset km iz

Mengi alikuwa kwenye mchakato wa kuanzisha kiwanda cha kutengeneza simu, mkaanzisha thread za kuiponda project hta kabla haijaanza

Mchawi wa mwafrica ni mwafrica mwenyewe
 
Kwa hyo maneno ya watu kuiponda project ndo yalimfanya ashindwe?! ...mwafrica uwezo mdogo tusijipambe ... Asili ya mwafrica ni uchawi , ushirikina, kutoa ndagu na kuvunja Nazi njia panda ....masuala ya kuumiza kichwa scientifically tuwaachie watu weupe ....
 

Hyo ndio project Tu mlishaanza kuponda

Hyo simu ingetoka mngeanza kuiponda kwa kuilinginisha na simu za ma master wenu
 
Safi sana nirifikiri huyu kijana kapotea kabisa,maana muda mrefu sijamsikia,
Akituria aje bongo awezeshe vijana wengine,na awekeze bongo kwenye biashara Ili ajira zipatikane

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…