Ndugu za mpenzi wangu hawanitaki

Ndugu za mpenzi wangu hawanitaki

Juma2010

Member
Joined
Dec 14, 2020
Posts
26
Reaction score
48
Wadau salaam,

Nina mpenzi nimekaa nae kwa miaka mitatu hivi. Nimetaka nimuoe lakini amemwambia dada yake anamwambia kuwa mimi ni mkubwa sana kwake kwa hiyo kwa umri huo nina familia nyingine. Kuwa nataka nimpige mimba nimkimbie.

Mimi nina miaka 35 Binti ana miaka 20. Amejaribu kuongea na mama yake na mama yake pia majibu ni hayo hayo. Kila akijaribu kuwambia kuwa nilikuwa shule hawaelewi badala yake wanamcheka kuwa anaenda kuolewa na mbaba mtu mzima.

Ukweli Binti ninampenda naye ananipenda ndio maana anapambania penzi lake lakini imefika hatua nimeshindwa nifanye nini. Kila wakiwa wanampigia simu ndugu zake hao (mama, dada) wanamcheka sana. Niko dilemma sana na Binti Yuko dilemma.

Naomba ushauri wadau
 
Mkipendana nyie inatosha sana msiishi kwa kufuata wengine watakavyo, ishini kwa namna mtakavyo nyinyi.
 
Ila ulikutana vipi na binti 20 years na ww uko na 35, mwaka gani mmekutana aisee. Wapi?
Muache binti wa watu. Acha ukoloni mzee. Umemdanganya tu huyo binyi. Otherwise, usije mpa mimba. Oa ndio umpe mimba kwa huo umri wako. Hata mm ningekushangaa.
 
Mleta mada uwe una hudhuria vikao vya mabaharia. Kikao cha mwisho tulikubaliana kuwa binti kama huyo mpige mimba yeye na dadake mwenye kiherehere, hapo utakuwa umeutegua mtego.
 
Mleta mada uwe una hudhuria vikao vya mabaharia. Kikao cha mwisho tulikubaliana kuwa binti kama huyo mpige mimba yeye na dadake mwenye kiherehere, hapo utakuwa umeutegua mtego.
Kwa mbili mbili kwa mbili mbili
 
Ila ulikutana vipi na binti 20 years na ww uko na 35, mwaka gani mmekutana aisee. Wapi?
Muache binti wa watu. Acha ukoloni mzee. Umemdanganya tu huyo binyi. Otherwise, usije mpa mimba. Oa ndio umpe mimba kwa huo umri wako. Hata mm ningekushangaa.
Ahsante
 
Ila ulikutana vipi na binti 20 years na ww uko na 35, mwaka gani mmekutana aisee. Wapi?
Muache binti wa watu. Acha ukoloni mzee. Umemdanganya tu huyo binyi. Otherwise, usije mpa mimba. Oa ndio umpe mimba kwa huo umri wako. Hata mm ningekushangaa.
Nilimaliza Chuo kikuu nikaanza kujitafuta. Alhamdulilah nilipo sio pabaya, nimeshanunua kiwanja cha sqr m 1600 na Niko najenga. Yeye nimekutana nae maana yeye alikuwa VETA. Siwezi kumlala kabla ya kumuoa
 
inaonekana ulianza shule ukiwa na miaka 15 mkuu ndo maana ulichelewa kumaliza masomo.

imagine wife kazaliwa kipindi cha jakaya af wewe kipindi cha mwinyi, mimi ningekua ndugu wa huyo binti ningekung`oa mapua
Shukrani
 
Mimi nina miaka 35 Binti ana miaka 20. Amejaribu kuongea na mama yake na mama yake pia majibu ni hayo hayo. Kila akijaribu kuwambia kuwa nilikuwa shule hawaelewi badala yake wanamcheka kuwa anaenda kuolewa na mbaba mtu mzima.
Mboni huu umri wa kijana au umeshazeeka kabla ya wakati Mzee? Unaweza ukawa una miaka 35 ila unaonekana km una miaka 80, sasa hapo ndipo kasheshe ilipo ungesindikiza na kapicha kidogo ili tukupe ushauri vizuri
 
Nilimaliza Chuo kikuu nikaanza kujitafuta. Alhamdulilah nilipo sio pabaya, nimeshanunua kiwanja cha sqr m 1600 na Niko najenga. Yeye nimekutana nae maana yeye alikuwa VETA. Siwezi kumlala kabla ya kumuoa
Huwezi kumlala kabla ya kumuoa, kwa kauli hii inaonesha wewe ni mporipori haswaa and I guess wewe ni wale mnavaaga suruali la kitambaa na shati za vitenge chini unavaa safety boots
 
Back
Top Bottom