Ndugu zangu hawataki tukarabati nyumba ya wazazi wetu. Pesa iliyopo wanataka tugawane, naombe mawazo yenu

Ndugu zangu hawataki tukarabati nyumba ya wazazi wetu. Pesa iliyopo wanataka tugawane, naombe mawazo yenu

BradFord93

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2017
Posts
917
Reaction score
2,217
Sisi tumezaliwa wa4

Bahati mbaya wazazi wamefariki na wakatuachiia nyumba 5...!

Wa3 kati yetu kila mtu ana maisha yake ila mmoja yupo kwenye nyumba mojawapo huku zingine tumepangisha

Sasa hapa juzi kati tumepiga dili la kama milioni 5 hivi na wakati tunasubiri dili likae tulikubaliana kuwa hela ikipatikana itaend kukarabati nyumba mojawapo ili iwe kisasa zaidi....wote tulikubaliana

Hela imeingia...na nmetumiwa mimi....yule anayekaa kwenye nyumba mojawapo akasema kila mtu apewe chake kisha kwenye ile nyumba akabidhiwe chumba akarabati mimi nikawa nakataa...ukazuka utata...mpaka na watoto wa kike nao wakasema basi ili kusiwe na ugomvi hela igawanywe tuuu

Nikiangalia ile nyumba ndo walokuwa wanaish wazaz wetu...roho inaniuma...hela nnayo mimi na wote wananielemea...nami nliplan sana tukarabati nyumba....!!

Naomben mawazo yenu...nifanye nini?

1.Niwape kila mtu hela yake

2.Niwape kiasi ili kingne kibaki kwa ajili ya marekebisho ya pamoja

3.Nisiwape nifanye tu marekebisho
 
Mil 05 mbona ndogo Sana mkuu itapendeza mkatafuta Mali zenu wenyewe msitegemee hela ya kodi tu

Hiyo mil 05 ni hela ya kodi ambayo imelipwa mwezi huu kwanza

Naishia Ila nitakulipua
 
Brother mil 5 mgawane wa 4? Mil 5 ndio mfanye ukarabati au kuna hela zaidi ya hio?

Kila mtu mpe chake ba imedhiirisha hao sio watu wa kuamini maan mnakiuka makubaliano
 
Wape hela yao bwana acha udhurumaji mzee.

January hii
 
Mil 05 mbona ndogo Sana mkuu itapendeza mkatafuta Mali zenu wenyewe msitegemee hela ya kodi tu

Hiyo mil 05 ni hela ya kodi ambayo imelipwa mwezi huu kwanza

Naishia Ila nitakulipua
sasa utamlipua kakukosea nini?
 
Sisi tumezaliwa wa4

Bahati mbaya wazazi wamefariki na wakatuachiia nyumba 5...!

Wa3 kati yetu kila mtu ana maisha yake ila mmoja yupo kwenye nyumba mojawapo huku zingine tumepangisha

Sasa hapa juzi kati tumepiga dili la kama milioni 5 hivi na wakati tunasubiri dili likae tulikubaliana kuwa hela ikipatikana itaend kukarabati nyumba mojawapo ili iwe kisasa zaidi....wote tulikubaliana

Hela imeingia...na nmetumiwa mimi....yule anayekaa kwenye nyumba mojawapo akasema kila mtu apewe chake kisha kwenye ile nyumba akabidhiwe chumba akarabati mimi nikawa nakataa...ukazuka utata...mpaka na watoto wa kike nao wakasema basi ili kusiwe na ugomvi hela igawanywe tuuu

Nikiangalia ile nyumba ndo walokuwa wanaish wazaz wetu...roho inaniuma...hela nnayo mimi na wote wananielemea...nami nliplan sana tukarabati nyumba....!!

Naomben mawazo yenu...nifanye nini?

1.Niwape kila mtu hela yake

2.Niwape kiasi ili kingne kibaki kwa ajili ya marekebisho ya pamoja

3.Nisiwape nifanye tu marekebisho
Kila mtu achukue chake. Hata nyumba gawaneni kama hamtaki mje "Kurogana huko mbele." Kwanza nyumba za kupangisha zinatakiwa kujikarabati.
 
Sisi tumezaliwa wa4

Bahati mbaya wazazi wamefariki na wakatuachiia nyumba 5...!

Wa3 kati yetu kila mtu ana maisha yake ila mmoja yupo kwenye nyumba mojawapo huku zingine tumepangisha

Sasa hapa juzi kati tumepiga dili la kama milioni 5 hivi na wakati tunasubiri dili likae tulikubaliana kuwa hela ikipatikana itaend kukarabati nyumba mojawapo ili iwe kisasa zaidi....wote tulikubaliana

Hela imeingia...na nmetumiwa mimi....yule anayekaa kwenye nyumba mojawapo akasema kila mtu apewe chake kisha kwenye ile nyumba akabidhiwe chumba akarabati mimi nikawa nakataa...ukazuka utata...mpaka na watoto wa kike nao wakasema basi ili kusiwe na ugomvi hela igawanywe tuuu

Nikiangalia ile nyumba ndo walokuwa wanaish wazaz wetu...roho inaniuma...hela nnayo mimi na wote wananielemea...nami nliplan sana tukarabati nyumba....!!

Naomben mawazo yenu...nifanye nini?

1.Niwape kila mtu hela yake

2.Niwape kiasi ili kingne kibaki kwa ajili ya marekebisho ya pamoja

3.Nisiwape nifanye tu marekebisho
Usiwape karabati nyumba, watakushukuru baadaye. Ukiwa soft nyumba itabaki hivyohivyo na pesa watakula nawe utaonekana dhaifu kwa kushindwa kuwa na maamuzi 'magumu' lakini yenye faida.
 
Sijajua miye nikoje yaani mdogo wangu anaanza kunibishia kitu ambacho kina maslahi na familia yetu sote kwangu sitaki itokee
Kataa kalabati nyumba wewe ndiyo baba na mama yao.
 
Sisi tumezaliwa wa4

Bahati mbaya wazazi wamefariki na wakatuachiia nyumba 5...!

Wa3 kati yetu kila mtu ana maisha yake ila mmoja yupo kwenye nyumba mojawapo huku zingine tumepangisha

Sasa hapa juzi kati tumepiga dili la kama milioni 5 hivi na wakati tunasubiri dili likae tulikubaliana kuwa hela ikipatikana itaend kukarabati nyumba mojawapo ili iwe kisasa zaidi....wote tulikubaliana

Hela imeingia...na nmetumiwa mimi....yule anayekaa kwenye nyumba mojawapo akasema kila mtu apewe chake kisha kwenye ile nyumba akabidhiwe chumba akarabati mimi nikawa nakataa...ukazuka utata...mpaka na watoto wa kike nao wakasema basi ili kusiwe na ugomvi hela igawanywe tuuu

Nikiangalia ile nyumba ndo walokuwa wanaish wazaz wetu...roho inaniuma...hela nnayo mimi na wote wananielemea...nami nliplan sana tukarabati nyumba....!!

Naomben mawazo yenu...nifanye nini?

1.Niwape kila mtu hela yake

2.Niwape kiasi ili kingne kibaki kwa ajili ya marekebisho ya pamoja

3.Nisiwape nifanye tu marekebisho
Siyo wapewe hiyo pesa tu Bali vitu vyote vya wazazi wenu vinatakiwa mrithi Kila mtu apate chake afanye atakacho, ikiwa leo mko hai mnagombana je akifa Moja wenu mtawarithisha watoto wake sehemu ya baba au mama Yao aliyekufa? Lkn mkigawana leo utamiliki Mali Yako na ukifa watoto wako pia watakurithi kwa sababu Mali inasoma ni Yako, hivyo utata utakuwa umeisha, Mali si za wazazi wenu kwa Sasa Bali ni zenu mmerithi gawaneni zote Kila mtu achukue chake na familia yake.
 
Mwenye mali akifa ili kuepuka migogoro zigawanywe. Mlafi auze ashangae wenzake wakiziendeleza
 
Sisi tumezaliwa wa4

Bahati mbaya wazazi wamefariki na wakatuachiia nyumba 5...!

Wa3 kati yetu kila mtu ana maisha yake ila mmoja yupo kwenye nyumba mojawapo huku zingine tumepangisha

Sasa hapa juzi kati tumepiga dili la kama milioni 5 hivi na wakati tunasubiri dili likae tulikubaliana kuwa hela ikipatikana itaend kukarabati nyumba mojawapo ili iwe kisasa zaidi....wote tulikubaliana

Hela imeingia...na nmetumiwa mimi....yule anayekaa kwenye nyumba mojawapo akasema kila mtu apewe chake kisha kwenye ile nyumba akabidhiwe chumba akarabati mimi nikawa nakataa...ukazuka utata...mpaka na watoto wa kike nao wakasema basi ili kusiwe na ugomvi hela igawanywe tuuu

Nikiangalia ile nyumba ndo walokuwa wanaish wazaz wetu...roho inaniuma...hela nnayo mimi na wote wananielemea...nami nliplan sana tukarabati nyumba....!!

Naomben mawazo yenu...nifanye nini?

1.Niwape kila mtu hela yake

2.Niwape kiasi ili kingne kibaki kwa ajili ya marekebisho ya pamoja

3.Nisiwape nifanye tu marekebisho
Kama hamjafunguwa mirathi kaeni kikao chaguweni msimamizi wa Mirathi mukhtasari wa kikao chenu peleka serikali za mtaa mtagongewa muhuri peleka mahakama ya mwanzo muone karani kwa ajili ya kufunguwa Mirathi.

Mali zote za marehemu zitaorozeshwa na msinamizi wa Mirathi atazigawa kwa haki au ziuzwe zote mbakize nyumba moja tu ya familia au gawaneni nyumba mbakize nyumba moja ya familia.

Hivi ndivyo matakwa ya kisheria yavyotaka mwenye mali akifa ifunguliwe mirathi.

Ubaya wa kutogawa mali ukifa wewe warithi hawahusiki na mali zilizopo za urithi labda familia waliyobaki wawe na busara na upendo.

Wewe si ni marehemu watalajiwa usiwaache familia yako waishi kama ng'ombe panga maisha yao hata kama haupo vitu viwe documented.
 
Kwanini hamkurekebisha nyumba kupitia kodi mnayolipwa mpaka muanze kuiwaza M5 utafikiri ni billioni.Pumbafffff nyie wote.
 
Back
Top Bottom