Ndugu zangu huku ni kumdhalilisha Rais hii picha yake inafanya nini kwenye mitungi ya gesi?

Ndugu zangu huku ni kumdhalilisha Rais hii picha yake inafanya nini kwenye mitungi ya gesi?

Watalipa deni 😂😂😂

Hivi yule mwenyekiti wa mavyama ya siasa anazunguziaje hizi kampeni.
 
ndugu zangu ndio tumefikia huku, kumdhalilisha Rais wetu namna hii? Picha ya Rais ni tunu kubwa sana inapaswa kuheshimiwa, iweje iwekwe kwenye mitungi ya gesi? Lengo ni nini hasa?


View attachment 3236639
Una kisomo gani ndugu mtoa mada? Maana sioni udhalilishaji wowote kwenye picha ya Rais kuwa kwenye mitungj ya gesi.

Kwa taarifa yako gesi ni nishati safi ya kupikia na nishati safi huokoa mazingira, huboresha afya za wanawake na watoto pia hujenga uchumi.

Rais Samia ndiye champion wa clean energy na agenda hii ameibeba hadi Paris mwaka 2023, Brazil mwaka 2024 na mwaka huu Januari kulikuwa na mkutano wa siku 2 Dar es Salaam ambao uliwaleta viongozi wa dunia kwa agenda ya clean energy.
 
Una kisomo gani ndugu mtoa mada? Maana sioni udhalilishaji wowote kwenye picha ya Rais kuwa kwenye mitungj ya gesi.

Kwa taarifa yako gesi ni nishati safi ya kupikia na nishati safi huokoa mazingira, huboresha afya za wanawake na watoto pia hujenga uchumi.

Rais Samia ndiye champion wa clean energy na agenda hii ameibeba hadi Paris mwaka 2023, Brazil mwaka 2024 na mwaka huu Januari kulikuwa na mkutano wa siku 2 Dar es Salaam ambao uliwaleta viongozi wa dunia kwa agenda ya clean energy.
😂😂😂😂
 
Una kisomo gani ndugu mtoa mada? Maana sioni udhalilishaji wowote kwenye picha ya Rais kuwa kwenye mitungj ya gesi.

Kwa taarifa yako gesi ni nishati safi ya kupikia na nishati safi huokoa mazingira, huboresha afya za wanawake na watoto pia hujenga uchumi.

Rais Samia ndiye champion wa clean energy na agenda hii ameibeba hadi Paris mwaka 2023, Brazil mwaka 2024 na mwaka huu Januari kulikuwa na mkutano wa siku 2 Dar es Salaam ambao uliwaleta viongozi wa dunia kwa agenda ya clean energy.
Hiyo kampeni haiwezi kufanikiwa kindezi na kuendeshwa kwa akili matope kiasi hicho.

Sasa anapotumia machawa wake kugawa hiyo mitungi vipi gesi ikiisha nayo atakuwa anazunguka kuwajazia.?

Mwambieni huyo mama Abdul wenu apunguze bei ya gesi iwe himilivu kwa kila mwananchi uone kama kuna raia atahangaika na mikaa.

Msiwe kama simbilisi wapumbavu nyie.
 
Watu wanaweka picha mpaka kwenye vibao kata ....kanga moko
Huku wakikatikaa mpaka kukalia chupa

Ova
 
Hiyo kampeni haiwezi kufanikiwa kindezi na kuendeshwa kwa akili matope kiasi hicho.

Sasa anapotumia machawa wake kugawa hiyo mitungi vipi gesi ikiisha nayo atakuwa anazunguka kuwajazia.?

Mwambieni huyo mama Abdul wenu apunguze bei ya gesi iwe himilivu kwa kila mwananchi uone kama kuna raia atahangaika na mikaa.

Msiwe kama simbilisi wapumbavu nyie.
Nishati safi ndiyo inaenea kasi hivyo wakati wewe bado unalialia JF. Kama kijijini kwako hamjafikiwa shauri yako
 
Back
Top Bottom