Ndugu zangu huu ni ugonjwa au madhara tu ya pilipili?

Ndugu zangu huu ni ugonjwa au madhara tu ya pilipili?

Kivipi mkuu mbona brother wang ndio kila kitu kwa mkewe, au unamaanisha uchawi wa limbwata?
Nakutania bana,nashangaa maswala ya dharura kiafya break ya kwanza ingekuwa hospitali sio JF
 
Huenda alimeza, si unakumbuka yule Mbunge alifariki? Dah awahi hospital 🏥
Ya ni kweli, hapa umenikumbusha jambo la muhimu sana, inabidi ushauri wa hospital ndo tuufanyie kazi.
 
Hahaha swala la bima hilo atajua mwenyewe ila huu ushauri wako wa hospital ni mzuri na nitamfikishia kama ulivyo. Shukran sana mkuu.
Nimeuliza bima kwa sababu nimeshangaa ni nini mpaka sasa hizi kinamzuia kwenda kumuona tabibu.Mpaka kakutuma wewe kuja kuuliza hapa.
 
Nakutania bana,nashangaa maswala ya dharura kiafya break ya kwanza ingekuwa hospitali sio JF
Usijali mkuu. Unajua yeye hakulichukulia hili swala serious akijua ni la muda litaisha, sasa anaona linaendelea ndo nikaona nijaribu kuomba ushauri kwa wataalam mbali mbali maana humu kuna mpaka ma dokta, afu ndo tujue tunaanzia wapi.
 
Au kingine kinaitwa colonoscopy hapo kamera inaingizwa kwenye utumbo mkubwa kupitia sehemu ya haja kubwa kucheki shida nini.
Oh ok dah nakupata kidogo kidogo, huu nao ni moja kati ya ushauri bora kabisa katika uzi huu.
 
itakua internal hemorhoid hiyoo.mtu ukiharisha afu umekula pilipili vinatokaga.
 
Nimeuliza bima kwa sababu nimeshangaa ni nini mpaka sasa hizi kinamzuia kwenda kumuona tabibu.Mpaka kakutuma wewe kuja kuuliza hapa.
Nahisi ni mawenge yake, afu hili swala alilichukulia simple kwamb litasumbua kwa muda kadhaa afu litaisha, sasa anaona linazidi kusogeza masaa na siku.
 
haina tofauti na kulaa mapera unaweza hisi ni kitoto kinatoka kumbe gogo unasimama uwezi kukaa huwezi unajikuta unalia na hapo ukitoka machoozi kama vyote mixer kuchoka usiombe yakukute mkuu ni hatari.
 
Back
Top Bottom