jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
CCM bado ni chama imara ki-muundo na ki-mfumo pia.
Ukiangalia mpangalio wa vikao wa CCM hakika unajawa na haja ya kuwafuatilia na kuziheshimu sera na itifaki zao.
Pamoja na kulalamikiwa imekuwa ikitumia dola kubaki madarakani lakini bado chama hicho kinazo sifa na uwezo wa kuendelea kuongoza Nchi yetu kwa muda mrefu zaidi ya huo uliopita.
Vile vile,CCM na ukongwe wake bado kina hadhina kubwa ya Viongozi wa baadae.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!
Ni jambo la kumshukuru sn MUNGUCha msingi alikufa
Imara kutumia rasrimali za nchi?CCM bado ni chama imara ki-muundo na ki-mfumo pia.
Ukiangalia mpangalio wa vikao wa CCM hakika unajawa na haja ya kuwafuatilia na kuziheshimu sera na itifaki zao.
Pamoja na kulalamikiwa imekuwa ikitumia dola kubaki madarakani lakini bado chama hicho kinazo sifa na uwezo wa kuendelea kuongoza Nchi yetu kwa muda mrefu zaidi ya huo uliopita.
Vile vile,CCM na ukongwe wake bado kina hadhina kubwa ya Viongozi wa baadae.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!
Hakuna la Maana lililokuwazisaha hadi kuanzisha hii Post MUFU and MUFILISI.
Kingeacha kuiba kura na kutegemea Polisi na Tume kushinda ChaguziCCM bado ni chama imara ki-muundo na ki-mfumo pia.
Ukiangalia mpangalio wa vikao wa CCM hakika unajawa na haja ya kuwafuatilia na kuziheshimu sera na itifaki zao.
Pamoja na kulalamikiwa imekuwa ikitumia dola kubaki madarakani lakini bado chama hicho kinazo sifa na uwezo wa kuendelea kuongoza Nchi yetu kwa muda mrefu zaidi ya huo uliopita.
Vile vile,CCM na ukongwe wake bado kina hadhina kubwa ya Viongozi wa baadae.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!
CCM bado ni chama imara ki-muundo na ki-mfumo pia.
Ukiangalia mpangalio wa vikao wa CCM hakika unajawa na haja ya kuwafuatilia na kuziheshimu sera na itifaki zao.
Pamoja na kulalamikiwa imekuwa ikitumia dola kubaki madarakani lakini bado chama hicho kinazo sifa na uwezo wa kuendelea kuongoza Nchi yetu kwa muda mrefu zaidi ya huo uliopita.
Vile vile,CCM na ukongwe wake bado kina hadhina kubwa ya Viongozi wa baadae.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!
MAADUI WATATU WAMESHATOWEKA MARADHI YAMEPUNGUA UMASKINI UMEPUNGUAUJINGA UMEBAKI KIDOGO TU KWA WATU WA CHADEMA LAKINI NAO TUNAJITAHIDI KUWASAIDIA UWATOKE CCM HOYEEEEEEEEEEMbona huo ubunifu wameshindwa kuupeleka kwenue kumkomboa mtanzania, maadui watatu wale wale ujinga maradhi na umasikini toka tupate uhuru mpaka leo.
Hao watakuwa mafundi wa ubunifu wa vitu vidogo visivyo na maana kwa mtanzania.
Inategemea Tiss,police, Jwtz = goli la mkonoCCM bado ni chama imara ki-muundo na ki-mfumo pia.
Ukiangalia mpangalio wa vikao wa CCM hakika unajawa na haja ya kuwafuatilia na kuziheshimu sera na itifaki zao.
Pamoja na kulalamikiwa imekuwa ikitumia dola kubaki madarakani lakini bado chama hicho kinazo sifa na uwezo wa kuendelea kuongoza Nchi yetu kwa muda mrefu zaidi ya huo uliopita.
Vile vile,CCM na ukongwe wake bado kina hadhina kubwa ya Viongozi wa baadae.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!
Hoyeeeee= oyeeeMAADUI WATATU WAMESHATOWEKA MARADHI YAMEPUNGUA UMASKINI UMEPUNGUAUJINGA UMEBAKI KIDOGO TU KWA WATU WA CHADEMA LAKINI NAO TUNAJITAHIDI KUWASAIDIA UWATOKE CCM HOYEEEEEEEEEE
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuishangilia CCMMbona huo ubunifu wameshindwa kuupeleka kwenue kumkomboa mtanzania, maadui watatu wale wale ujinga maradhi na umasikini toka tupate uhuru mpaka leo.
Hao watakuwa mafundi wa ubunifu wa vitu vidogo visivyo na maana kwa mtanzania.