Ndugu zangu kwenu biashara zinakwendaje?

Bora nusu shari kuliko shari kamili, ngoja niendelee kula mshahara na posho awamu hii ya sita.

Niwakumbushe tu vijana wekezeni kwenye kilimo na ufugaji, mtakuja nishukuru siku moja.

Hutoona TRA akitaka kodi kwenye mauzo ya maziwa hata siku moja.
Aisee ni kweli maana mimi biashara ya vinywaji tu TRA kutaka kunikagua milolongo kibao
 
Naomba tumia na online pia tumia mitandao kutangaza biashara yako huku ukiendelea na kazi ya biashara yako.
 
Maisha NI magumu Sana nowdays natamani niwashauri acheni biashara tafuteni kazi za kuajiriwa muwe wafanyakazi
 
Maisha NI magumu Sana nowdays natamani niwashauri acheni biashara tafuteni kazi za kuajiriwa muwe wafanyakazi
Umepotea njia wewe. Ugumu wa kitu sio mwisho wa kitu, mapambano lazima yaendelee.
 
Pole, nilidhani ni Mimi Pekee Ila kwakweli Hali ni mabaya Sana ,Mungu aturehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…