Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Salaam zenu wanaJF ,namshukuru mungu kwa kupata mtoto wa kiume last month ila tatizo ni kwamba hajapata choo tangu jumapili ,tukashauriwa tumpe mafuta ya samaki ,tumempa lakini wapi amekuwa akijampa 2 .nisaidieni
LEO katoka kupmwa uzto pia dokta nkamweleza kuhusu suala hlo akaxema hakuna shida .hapo awal yeye ndo alipendekeza suala la kumnywesha mtoto hayo mafuta ya samak .kwa mwonekano anaonekana mzma 2
LEO katoka kupmwa uzto pia dokta nkamweleza kuhusu suala hlo akaxema hakuna shida .hapo awal yeye ndo alipendekeza suala la kumnywesha mtoto hayo mafuta ya samak .kwa mwonekano anaonekana mzma 2
Pole sana rafiki atapona sema jitaidi kumpa maji maji na ayo mafuta ya samaki atapatatu choo usijali.
Wewe huyu mtoto ana mwezi mmoja tu anakunywa/ananyonya maziwa tu!Constipation may occur if your child is not eating enough high-fiber foods, drinking enough fluids
highfibre wakati ako na mwezi mmoja?Constipation may occur if your child is not eating enough high-fiber foods, drinking enough fluids
highfibre wakati ako na mwezi mmoja?