Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Salaam zenu wanaJF ,namshukuru mungu kwa kupata mtoto wa kiume last month ila tatizo ni kwamba hajapata choo tangu jumapili ,tukashauriwa tumpe mafuta ya samaki ,tumempa lakini wapi amekuwa akijampa 2.
Nisaidieni.
Nisaidieni.