NANGA WA DEPO
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 917
- 1,201
Whatsapp haina siri tena. Fahamu Jinsi ya kusoma sms kwenye akaunti ya rafiki yako kwa hatua hizi:
1. Search jina la rafiki yako toka contacts zako
2. Nenda kwenye Message
3. Kwenye sehemu ya compose
4. Andika *2345#. Sehemu ya kuandikia ujumbe na kisha andika jina lake
5. Subiri
6. Kisha subiri tena kidogo halafu kaoge ulale maana hakuna ujinga kama huo...!!
ONA UNAVOPENDA KUJUA MAMBO YA WATU
sipendagi kabisa watu wambeya mimi.
[emoji2909]
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Search jina la rafiki yako toka contacts zako
2. Nenda kwenye Message
3. Kwenye sehemu ya compose
4. Andika *2345#. Sehemu ya kuandikia ujumbe na kisha andika jina lake
5. Subiri
6. Kisha subiri tena kidogo halafu kaoge ulale maana hakuna ujinga kama huo...!!
ONA UNAVOPENDA KUJUA MAMBO YA WATU
sipendagi kabisa watu wambeya mimi.
[emoji2909]
Sent using Jamii Forums mobile app