Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataalamu wa uwekezaji ni kweli wanatakiwa watusaidie katika hili.
Bado nina mashaka kiasi kwani kuna hii migogoro inayoendelea kati ya Muhongo na Mengi na sijui hii Swala Mengi yumo au hayumo.
La pili ni kwamba nimesoma mahali kuwa hawa swala wanaelekeza nguvu zao katika vitalu vilivyopo Kilosa na Ifakara,hili nalo linatakiwa tulijue kwa kina.
Katika uzinduzi wao nilimuona Mramba,ex minister na hili nalo linanitia shaka kwani huyu si mwenzao na JK na sielewi itakuwa vipi katika uendeshaji.
duh inabidi tuangalie kwa kina sana
Deadline inakaribia, umakini gani?? ndo mana nikaleta tujadili
Binafsi naona imekaa kisanii sababu kwa maelezo yao ni kwamba hizo hela watawekeza kwenye kufanya utafiti wa uwepo wa gesi na si kwamba wamegundua kuna gesi na kwamba wanataka waanze uchimbaji.What if utafiti ukaonyesha hakuna gesi? Ina maana hizo hisa zitaleta dividend baadae sana