Ndugu zangu, nilifuatilia cheti cha kuzaliwa Edina kule Rita Dar es Salaam na sasa nimechoka

Ndugu zangu, nilifuatilia cheti cha kuzaliwa Edina kule Rita Dar es Salaam na sasa nimechoka

Nenda hapo Rita muone meneja au mkurugenzi mueleze issue yote. Asipokusaidia mwambie unenda wizara ya Sheria na katiba
 
Itatuchukua Karne Moja CCM kumpata Kiongozi mzuri na mchapa kazi kama JPM.

LEO NI TAR 17.3 NIMEMKUMBUKA HUYU MZEE SANA
 
Katika kufanya marekebisho ya cheti cha Edina bint yenu, si nikapeleka kila kitu Rita.?

Kwanza mchezo ulianza mwaka 2018, nimepigwa tarehe style ya kirudishwa wiki wiki. Piga ni wiki ya ngapi tangu 2018? Basi ndivyo ninavyofanyiwa hadi leo hii.

Naelewa kuwa mkono mtupu haulambwi. Inatakiwa nitoe...Kinachofanyika ni kwamba reception anaandikiwa kule ndani kwamba mpe muda, then kwenye documents ulizobeba moja inaandikwa njoo tarehe flan. Sababu ni kwamba wanawasiliana na source ya birthplace kwa mtoto.

Unapouliza kwa wadau wa RITA nje ya ofisi wanakubali ni kweli wanahitaji taarifa from the original.

Fine, baada ya 2020, 2021 topic ikachange shule wajaze fomu hii ikajazwa 2022 wiki ijayo, nenda rudi wiki ijayo....23 ikaja nenda ulete confirmation letter kutoka ward executive officer WEO.

Nikaishia hapo kwa 2023 December. Hapo pote nimekwepa tuu kutoa rushwa hadi sasa.

Japo nimechoka ila sinatra hata 100 mbovu. Nitalianzisha hata Edina akiwa University patelea mbali.


Jifunze kuhoji, ukihoji hawa watumishi wa serikali wakati wanafanya ujinga wao huwa wanajirekebisha.

Kuna siku nimekamilisha utaratibu wote wa Sumatra, natakiwa nipewe sticker yangu.

Nikaenda pale Arusha jengo la Hifadhi mbele ya New Arusha, nilikuwa peke yangu.

Nikamoa huyo Dada vielelezo, akasema kaa pale, ikapita nusu saa kimya.

Nisogea dirishani, nikamwambia wahusika hawajaja, akasema wahusika ni wa kina nani.

Nikamwmbia mbona wanijibu hovyo, Nikamwmbia naondoka hapa, na hiyo sticker kabla ya lunch utaniletea utake usitake.

Akanipa sticker, msiende kinyonge kwa hawa watu, ukijua haki yako na ukafuata utaratibu usibembeleze.
 
Rita Mimi walinihudumia ndani ya wiki 2 tu done...

Lazima wewe mgumu WA kufata maelekezo
 
Back
Top Bottom