Ndugu zangu UKIMWI is real

Ndugu zangu UKIMWI is real

Ndugu zangu, vijana, wazee na watoto ukimwi upo, na una endelea kuteketeza nguvu kazi ya familia na Taifa vibaya sana. Utaskia waombolezaji na watu wa karibu wakijifariji na kujipa moyo wa matumaini, ''aah jamaa, sukari na pressure imemsumbua muda mrefu sana".

Tena sasa hivi mgonjwa wa Ngoma anakufa na afya yake njema na mujarabu sana kwa nje, ila kwa ndani ni mtu aliechaka vizuri sana.

Ukihisi huna hakika na afya yako, tafadhali tembelea kituo cha afya kwa vipimo na ushauri wa bure na ukibainika nao uanze dozi maramoja.

Usiogope.....

Tujihadhari ndugu zangu,
Baki njia kuu michepuko sio deal.

UKIMWI NI KITU MBAYA SANA.
Acha waendele kufa ili tutakaobaki tufaidi dunia vyedi. Waliombwa wauze mechi?
 
Ndugu zangu, vijana, wazee na watoto ukimwi upo, na una endelea kuteketeza nguvu kazi ya familia na Taifa vibaya sana. Utaskia waombolezaji na watu wa karibu wakijifariji na kujipa moyo wa matumaini, ''aah jamaa, sukari na pressure imemsumbua muda mrefu sana".

Tena sasa hivi mgonjwa wa Ngoma anakufa na afya yake njema na mujarabu sana kwa nje, ila kwa ndani ni mtu aliechaka vizuri sana.

Ukihisi huna hakika na afya yako, tafadhali tembelea kituo cha afya kwa vipimo na ushauri wa bure na ukibainika nao uanze dozi maramoja.

Usiogope.....

Tujihadhari ndugu zangu,
Baki njia kuu michepuko sio deal.

UKIMWI NI KITU MBAYA SANA.
kifo kinatisha, hasa kama huna uhakika kama una Mungu, hivo ukifa unaenda moja kwa moja motoni. pia watu wengi wanaogopa ukimwi na maradhi mengine, ni sahihi, ila hawamwogopi Mungu, ukimwi unaua mwili, hauuwi mwili pamoja na roho, ila Mungu ndiye awezaye kuua sio mwili tu bali na roho yako katika moto wa milele. Mwogopeni Mungu, ukimheshimu Mungu hautamfanyia dhambi ya uzinzi hivyo utapona na mengi. Jahenum inatisha, mrudieni Mungu, uwe umepata ukimwi au bado, mwogope Mungu, mheshimu yeye, tengeneza mambo yako na Mungu kabla giza halijaja kwako, kwa sababu hatujui siku wala saa aidha tutakayokufa au tutakayokunana na unyakuo wa Yesu, nawaasa, mpeni Yesu maisha yenu, muokoke ili muwe na uhakika wa maisha ya sasa na ya baadaye.

tutatangatanga katika dhambi hadi lini? tutazini hadi lini? tangu tuanze kuzini tumevuna mangapi? Mungu anatuona, tutamdharau Mungu hadi lini? hivi unajua kila unachokifanya Mungu anakuona? hata wewe uliyekuwa umeokoka ukaacha wokovu, maadamu upo hai,ni nafasi Mungu amekupa, rudi haraka kwa Mungu, mheshimu Mungu, bado anakupenda mno na anataka ubadilike. Wokovu ni wa bure, Yesu alilipa deni lako, ni wewe tu kuamua kuupokea wokovu wake au kuendelea kubaki katika dhambi, mpe Yesu Maisha yako, alikufa kwa ajili ya hayo yote unayopitia, atakuokoa, atakuponya, atakukomboa na utapata raha nafsini mwako.
 
kifo kinatisha, hasa kama huna uhakika kama una Mungu, hivo ukifa unaenda moja kwa moja motoni. pia watu wengi wanaogopa ukimwi na maradhi mengine, ni sahihi, ila hawamwogopi Mungu, ukimwi unaua mwili, hauuwi mwili pamoja na roho, ila Mungu ndiye awezaye kuua sio mwili tu bali na roho yako katika moto wa milele. Mwogopeni Mungu, ukimheshimu Mungu hautamfanyia dhambi ya uzinzi hivyo utapona na mengi. Jahenum inatisha, mrudieni Mungu, uwe umepata ukimwi au bado, mwogope Mungu, mheshimu yeye, tengeneza mambo yako na Mungu kabla giza halijaja kwako, kwa sababu hatujui siku wala saa aidha tutakayokufa au tutakayokunana na unyakuo wa Yesu, nawaasa, mpeni Yesu maisha yenu, muokoke ili muwe na uhakika wa maisha ya sasa na ya baadaye.

tutatangatanga katika dhambi hadi lini? tutazini hadi lini? tangu tuanze kuzini tumevuna mangapi? Mungu anatuona, tutamdharau Mungu hadi lini? hivi unajua kila unachokifanya Mungu anakuona? hata wewe uliyekuwa umeokoka ukaacha wokovu, maadamu upo hai,ni nafasi Mungu amekupa, rudi haraka kwa Mungu, mheshimu Mungu, bado anakupenda mno na anataka ubadilike. Wokovu ni wa bure, Yesu alilipa deni lako, ni wewe tu kuamua kuupokea wokovu wake au kuendelea kubaki katika dhambi, mpe Yesu Maisha yako, alikufa kwa ajili ya hayo yote unayopitia, atakuokoa, atakuponya, atakukomboa na utapata raha nafsini mwako.
Aimen 🙏
mtumishi Mungu akubariki sana
 
Back
Top Bottom