Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,368
- 1,325
Ndugu zangu kulingana na huu ukata wa maisha nimeshindwa kuambatana na ndugu zangu kuelekea mgombani kula sikukuu naombeni nyinyi mlioko Dodoma mnialike nije kula ubwabwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi natafuta pa kwenda kula tu na tubia tuwili za kujazia nitakua nayo jumla ziwe bia 6Na mimi naomba msaada kwa manzi aliyeko Mkoa wa Tanga, aje Lushoto anisaidie kupika pilau la sikukuu. Nauli na gharama za usumbufu, atarejeshewa.
Muhimu tu awe anajua kupika pilau la sikukuu.
Ataliwa ntu hapaNa mimi naomba msaada kwa manzi aliyeko Mkoa wa Tanga, aje Lushoto anisaidie kupika pilau la sikukuu. Nauli na gharama za usumbufu, atarejeshewa.
Muhimu tu awe anajua kupika pilau la sikukuu.
😂😂😂😂 nimecheka mnoNa mimi naomba msaada kwa manzi aliyeko Mkoa wa Tanga, aje Lushoto anisaidie kupika pilau la sikukuu. Nauli na gharama za usumbufu, atarejeshewa.
Muhimu tu awe anajua kupika pilau la sikukuu.
Kila jukwaa upo looh😂😂Si tuliambiwa nyie nyote ni.matajiri🙄🙄
Njoo bibie! Maisha yenyewe ni mafupi haya. Unanipikia pilau tu. Hakuna masihara yoyote yale yatakayo fanyika.😂😂😂😂 nimecheka mno
Msalato hapo kwa mnadani auNjoo msalato huku brooo
Walikupotosha mkuuSi tuliambiwa nyie nyote ni.matajiri🙄🙄
Kitererq hapaMsalato hapo kwa mnadani au
Ushapata mkuu??Na mimi naomba msaada kwa manzi aliyeko Mkoa wa Tanga, aje Lushoto anisaidie kupika pilau la sikukuu. Nauli na gharama za usumbufu, atarejeshewa.
Muhimu tu awe anajua kupika pilau la sikukuu.
Nimekosa mama! Hivyo nimelazimika tu kwenda kula sikukuu kwa majirani 😩Ushapata mkuu??
Njo kikuyu nimekuja apa toka iringa nilipewa mwakiko njo tuunganeMimi natafuta pa kwenda kula tu na tubia tuwili za kujazia nitakua nayo jumla ziwe bia 6
Uko wap tukazurure wote hiyo mwak mpyaJamani mimi naombeni pia kualikwa huku dodoma mgeni,au nitajieni ni sehemu gani za kutembea sikukuu hii angalau macho yashangae...