Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Kwa vinono ila pisi zingine hazina vinono kwa wale wataalamu wa migodi wamenielewaNdio anafaa kwa matumizi
Na waseme mapema kama kuna aliyeuza mechi ya kesho...!! SIyo wafungwe kitarehe halafu warudi hapa kudai wamehujumiwa sijui na ng'ombe au Debora, au Valeee etc..!! hatutawaelewa.
CC
Kalpana
GENTAMYCINE
cocastic
Mshana Jr
Tsh
Et el
Also CC
Bantu Lady
Hilo swali ndilo nimekua nikiwauliza mashabiki wa Mbumbumbu leo tangu asubuhi.Mangungu anafaa au hafai? Na msibadili gia baada ya mechi.
Nani wa kuwabebea mikoba safari hii? Atazimia?Na waseme mapema kama kuna aliyeuza mechi ya kesho...!! SIyo wafungwe kitarehe halafu warudi hapa kudai wamehujumiwa sijui na ng'ombe au Debora, au Valeee etc..!! hatutawaelewa.
CC
Kalpana
GENTAMYCINE
cocastic
Mshana Jr
Tsh
Et el
Also CC
Bantu Lady