Ndugu zangu wa Simba njooni tukubaliane hili kabla ya mechi

Kuanzia Mwekezaji, Viongozi, wachezaji, Mashabiki wote tupo safii kabisa.
Hatuna shida.
 
itafika hatua wataanza kukanyagana!
 
Mangungu anafaa au hafai? Na msibadili gia baada ya mechi.
Hilo swali ndilo nimekua nikiwauliza mashabiki wa Mbumbumbu leo tangu asubuhi.

Kiufupi watuambie mapemaa kabla hatuja wapiga 4, Mangu anafaa ama hafai?

Kibu d ni msaliti (kauza timu) ama nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…