kinacho endelea kwa jirani zetu wakenya sio maandamano ya amani bali ni vurugu ambazo hadi sasa zimepelekea watu sita kupoteza maisha na kusababisha uharibifu wa mali.
Wananchi wanayo haki ya kuandamana lakini tunacho kishuhudia kwa jirani zetu ni vurugu tupu ambazo zinapekea kutatiza shughuli za kiuchumi.
Mzee Raila chonde chonde usiingize Kenya kwenye machafuko, tumieni njia za amani kudai haki zenu, vurugu hazisaidii zaidi ya kusababisha mauaji.
Wananchi wanayo haki ya kuandamana lakini tunacho kishuhudia kwa jirani zetu ni vurugu tupu ambazo zinapekea kutatiza shughuli za kiuchumi.
Mzee Raila chonde chonde usiingize Kenya kwenye machafuko, tumieni njia za amani kudai haki zenu, vurugu hazisaidii zaidi ya kusababisha mauaji.