Ndugu zangu wakenya acheni kuharibu nchi yenu

Ndugu zangu wakenya acheni kuharibu nchi yenu

watumie njia zingine kama vile Bunge n.k, maandamano ya vurugu ni machafuko mkubwa sio njia sahihi, sio njia muafaka kwa sasa.

watu 6 wamepoteza uhai. ni wazi kabisa maandamano sio njia sahihi kwa wakati huu.

Kama bunge lao linafanana na bunge la tanzania lililopitisha mkataba wa dp world waendelee kulitumia tu?
 
H
kinacho endelea kwa jirani zetu wakenya sio maandamano ya amani bali ni vurugu ambazo hadi sasa zimepelekea watu sita kupoteza maisha na kusababisha uharibifu wa mali.

Wananchi wanayo haki ya kuandamana lakini tunacho kishuhudia kwa jirani zetu ni vurugu tupu ambazo zinapekea kutatiza shughuli za kiuchumi.

Mzee Raila chonde chonde usiingize Kenya kwenye machafuko, tumieni njia za amani kudai haki zenu, vurugu hazisaidii zaidi ya kusababisha mauaji.
Ivi hujui watanzania ndio wameharibika
 
maandamano sio njia sahihi ya kutatua ugumu wa maisha zaidi ya kupoteza uhai na kuharibu mali za raia.


leo tarehe 12/7/2023, watu 8 wanadaiwa wamekufa wengine kujeruhiwa na mali nyingi kupora na kuharibiwa.

Raila anapaswa aache kuhamsisha maandamano kwani ataitumbukiza kenya kwenye machafuko makubwa zaidi.
 
Ndugu zangu wa kenya kwa sasa maandamano sio njia sahihi ya kuwasilisha machungu yenu kwa Serikali kwasababu imeonekana maandamano yamekuwa na vurugu, uharibifu wa mali za watu, uporaji na hata mauaji.

Raila sitisha maandamano ili kuokoa damu za wakenya.

jana trh 12 watu 9 wamekufa!!!
 
inasikitisha maandamano ya jana 19/7 yamepoteza wakenya kadhaa na wengine kujeruhiwa lakini pia mali kuharibiwa na shughuli za kiuchumi kusimama.

maandamano sio ufumbuzi sahihi wa kutatua changamoto
 
Maandamano ya vurugu, uporaji mali, uharibifu, kubeba sialaha, kamwe hayawezi kuleta ufumbuzi zaidi ya maafa
 
Ahsante Rais wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kuwashauri pande zote mbili Ruto na Raila kukaa mezani na kutatua changamoto za wananchi kwa njia ya amani sio maandamano ya vurugu.

nilisema maandamano ya vurugu sio njia sahihi ya kutatua matatizo ya kupanda gharama za vyakula bali mazungumzo.

Raila amefanya maamuzi mazuri kusitisha maandamano.

Kenya ni ndugu zetu hatutaki kuona kenya inaharibika.
 
Back
Top Bottom