Halafu Saratani tuibebe sisi.
Serikali ikiona Kuna viwango Vikubwa vya Mionzi Kwenye Samaki inaweza Kuchukua Hatua na Kuwaambia wananchi Kuwa samaki wameathiriwa na Mionzi na Sumu nyingine kwa hiyo inaweka Vituo Kila mahali kwenye Mwambao na Kila Mvuvi akivua Shehena yake anakwenda kuipima kama iko salama,Ila kitu cha Muhimu ni Elimu kwa Mlaji na Taarifa.Hiyo inaonesha tuu kama kuna athari au la, lakini haita zuia watu kuvua na si rahisi kufanya doria eneo lenye urefu wa zaidi ya 1000miles
Aseee[emoji22][emoji22][emoji134][emoji134]View attachment 1042174
Mtoto anaeumwa kutokana na Ukosefu wa Lishe.
Why sio plastic?View attachment 1042320
Jikite zaidi hapa dunia imeshaharibika.[emoji16]lakini si kwa sahani ya Plastic,tumia sahani za Udongo au China.
But chakula kikiwa cha moto eti?Plastic pia husababisha Saratani.