Ndugu zangu Wakenya jichungeni na Samaki.

Ndugu zangu Wakenya jichungeni na Samaki.

i-would-totally-be-a-somali-pirate-1413339519692.jpeg

Kudaaadeki..Hapo anakwenda Kuteka Craft Carrier USS NIMITZ.
Ni mzima kweli huyu?!Radioactive Pirates.
 
Kutokana na Bahari ya Jirani Zenu Somalia ya Kusini Kufanywa Dampo la Nuclear waste Samaki wengi wako Radioactive.


Na Bado Serikali hii ya Somalia yenye Laana inahongwa na Makampuni ya Kumwaga Takataka zenye Mionzi hatari

Na kama Mnavyojua Samaki hawana Mipaka

Ni bora Posho yako iende na Sukuma wiki kuliko Samaki wenye macho matatu.

Sina Maana ya Wale wa Lake Victoria na Ma lake zingine,Samaki wa Bahari ya hindi.

View attachment 1042026
Radioactive Fish from Fukushima.

View attachment 1042027
Huyu ni wa kutoka Somalia ni Hatari na Bado wanatoa Leseni za Dumpin Serikali ya Mogadishu.

Hili suala siyo la Mogadishu, Nairobi, EGAD, EAC wala AU, bali ni suala la UN. Madhara yanayotokana na huo ubaradhuri hauta muacha yeyote salama katika dunia hii. Kuwaacha watu waendelee kutupa sumu baharini eneo la Somalia ni janga kwa DUNIA nzima. Siyo Somalia ama egad ama EAC ama Afrika ndizo zitakazo athirika. Nimeongea kwa kurudia rudia ili kuonesha kuwa dunia kwa ujumla wake haita kuwa salama kwa kitendo kinachofanyika katika pwani ya Somalia.
 
Hili suala siyo la Mogadishu, Nairobi, EGAD, EAC wala AU, bali ni suala la UN. Madhara yanayotokana na huo ubaradhuri hauta muacha yeyote salama katika dunia hii. Kuwaacha watu waendelee kutupa sumu baharini eneo la Somalia ni janga kwa DUNIA nzima. Siyo Somalia ama egad ama EAC ama Afrika ndizo zitakazo athirika. Nimeongea kwa kurudia rudia ili kuonesha kuwa dunia kwa ujumla wake haita kuwa salama kwa kitendo kinachofanyika katika pwani ya Somalia.
Ni Kweli kitendo cha Meltdown ya Fukushima Baada ya Japanese Tsunami vitu vingi vilifika Pwani ya Magharibi ya USA vikiwa vingine ni Radioactive
 
Wakati huohuo Somaliland inafanya mambo ya Maendeleo na Kulinda Bahari yake kutoka kwa Maharamia.
 
View attachment 1042174
Mtoto anaeumwa kutokana na Ukosefu wa Lishe.
Cc. FaizaFoxy. Hivi ndivyo hali ilivyo kule Puntland na Jubaland, Somaaliya. Mabwana zako alshabaab wanafunga mabarabara na kuwatoza ada wasomali masikini wasio na hatia. Cha kutamausha zaidi ni kwamba huwa wanavamia misafara ya malori ambayo yanaleta misaada ya vyakula na madawa kwa hawa wasomali wenzao ambao wanakufa kwasababu ya njaa kila uchao, kisha wanauza vyakula hivyo na madawa ili wanunue mirungi na silaha. Mtazame vizuri machoni huyo maskini wa Mungu, muislamu mwenzako, ndio ufahamu vizuri laana inayowaandama nyie mazombi.
 
Sasa unawaonya Kenya peke yao kana kwamba wanashea bahari na Somalia alafu sisi wengine tuna ya kwetu na Zanzibar.
 
Sasa unawaonya Kenya peke yao kana kwamba wanashea bahari na Somalia alafu sisi wengine tuna ya kwetu na Zanzibar.
Hahahahaaa!! Kuna Posti nilisema Visiwani
 
downloadfile-5.gif

Mikondo ya Bahari ya Hindi Sisi Mkondo wetu ni wa Msumbiji Tunaweza kuwa Salama.
 
Back
Top Bottom