Uchaguzi 2020 Ndugu zangu wanaCCM kweli tulikosea, tuchutame

Uchaguzi 2020 Ndugu zangu wanaCCM kweli tulikosea, tuchutame

Siku hizi makamanda wa CHADEMA wanajigeuza na kuwa wanaCCM huku wakitoa eti ushauri na maoni yao!

Unatumia picha ya Marehemu aliyekuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah halafu unajiita mwanaCCM!

Hizi ni propaganda za kitoto sana!
Usilinganishe na were kujiita MsemajiUkweli wakati ni msema uongo mwandamizi.
Anayejigeuza ni wewe
 
Eti Meko utamsikia, "Tumenunua ndege" mara utamsikia "Tumejenga mafly over" kisha "Tumehamia Dodoma"

Hivi hata tukihamia Dodoma wakati mwananchi wa hapa Utegi anaishi kwa mlo mmoja, tunapata faida gani?

Au hata tukinunua ndege 800 wakati mwalimu wa kule Ng'ong'ona ana utitiri wa madeni yatokanayo na mahitaji ya kila siku ya nyumbani, tutakuwa tumenufaika au tumeathirika?

Magufuli asithubutu kujigamba kwa hivi vitu vyake wakati kampeni za uchaguzi zitakapoanza. Watu hawataki kuvisikia kwani haviwanufaishi walio wengi, badala yake vimesababisha waishi maisha ya kinyama.
Hali ni kama hii kwa sasa!
IMG-20200812-WA0036.jpg
 
Habarini wanabodi,

Kwanza naomba nitamke wazi kwamba mimi ni mwanaccm kindakindaki na nimepanga 2025 kuonana na wajumbe.

Naomba niseme wazi kwamba ccm tulikosea kwenye vipaumbele vyetu, tuliegemea upande mmoja zaidi.( ujenzi wa miundombinu zaidi). Ni kweli Rais wetu kafanya mambo mengi sana mazuri na yenye tija kwa Taifa letu ila yote aliyofanya ilitakiwa yaendane na hali ya kiuchumi ya mtanzania mmoja mmoja. Rais wetu angekuwa Rais bora zaidi Duniani kama spidi yake ingeenda sambamba na yafuatayo:

1. Utoaji wa ajira kwa watanzania wanyonge (maskini) ambao wengi wao walisomeshwa na wazazi wao kwa shida kubwa na ndio wamejaa kwenye kada ya kilimo, Uvuvi, Ualimu na majeshi. RAIS ANAPOSEMA NI RAIS WA WANYONGE BILA KUFANYA HAYA ANAFIKIRISHA SANA kwa sababu hao wanyonge aliyofanya mengi hayawanufaishi kabisa ndio maana katika hili hatuna hoja.

Kuwaambia vijana wajiajiri ni kuwakosea sana mana Madaktari na maprofesa waliopo CCM wangekuwa mifano katika hili, pia wabunge wote baada ya kupokea 240M wangekuwa mifano mizuri sana katika hili, lakini wapiiii !! Wote wameenda majimboni kutafuta ajira kwa wananchi pamoja na kwamba wana mitaji.

Juzi Donard Trump alikuwa anajidai kwa kuzalisha ajira 1.5M ndani ya miezi miwili. Hili tunalizungumziaje wana CCM?

HOJA YA AJIRA TUKUBALI TUMEFELI VIBAYA SANA, tumefikia hatua kuwaambia wananchi wajitolee huku majukwaani tukijidai nchi ina pesa na ni tajiri. Vituko kwa kweliii

2. Mishahara kwa wanafanya kazi wa nchi hii. Hapa pia tukubali kwa miaka 5 hatukutenda haki kwa wafanyakazi, tuliwaongopea miaka yote minne labla tulidhani miaka 5 ni mingi sana. UKWELI MCHUNGU HAPA TUSHAUMIA SANA. WANACCM HAPA HATUNA HOJA, TUCHUTAME.

3. Vyeo na madaraja. Tumeshuhudia majeshi yetu yakipewa vyeo na kupanda madaraja kwa kipindi chote cha miaka 5 ila kada zingine tangu 2013/2014 watu hawajapanda madaraja kwa kuwa hakuna pesa, hapa tulikosea sana tungepandisha kidogo kidogo tangu 2015 sa hivi tungekuwa hili tatizo tushalimaliza kabisa. Kwenye kada ya Elimu hiki ni kilio kikuu.

4. HAKI, SHERIA NA WAJIBU, nadhani hatujui kutofautisha hivi vitu vitatu.

5. RUSHWA. Hapa napo CCM hamna kitu tumefeli pia. RUSHWA AKITOA MASKINI AU ASIYE NA JINA, AKITOA TAJIRI AU MWANACCM NI TAKRIMA.

6. Ule msemo wa wanaolalamika ni wezi au wamebanwa kwenye mambo yao ulikuwa wa KUPOTOSHA na kumpoteza Mh: Rais. Wanyonge wengi wa Mh.Rais walikuwa wakilalama hali ngumu WATEULE wake walikuwa wana mwambia hao ni wale MAFISADI uliowatumbua. WASAKATONGE MMETUHARIBIA CHAMA.

Mwisho

Wana CCM tujipange kisawasawa kutengua hoja za wapinzani wana hoja muhimu sana, kamwe huwezi kusifia ujenzi wa miundombinu wakati tumbo lipo tupu (wanufaika wa utawala huu kaeni pembeni kidogo tuokoe chama).

TUSIKOSEE TENA KWENYE ILANI YETU IJE KUMNUFAISHA MTANZANIA MMOJAMMOJA NA SIO PESA ZOTE KWENDA NJE KWENYE UNUNUZI WA NDEGE.

Mwisho kabisa

Tuombe msaada kutoka kwa comrade kinana, Nape na Makamba. Watusaidie mbinu maana tumeshikwa pabaya.

Ahsanteni sana.
Wewe siyo CCM endelea kujitekenya mwenyewe na kucheka
 
Sasa ndio atajua alifikiri miaka mitano ni mingi sana ,atapigiwa kura na flyover Madaraja, Stiegersgorge , Standard Gauge na Bombadier.
 
Siku hizi makamanda wa CHADEMA wanajigeuza na kuwa wanaCCM huku wakitoa eti ushauri na maoni yao!

Unatumia picha ya Marehemu aliyekuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah halafu unajiita mwanaCCM!

Hizi ni propaganda za kitoto sana!
Vipi hayo aliyoorodhesha hayapo mkuu au Ni beberu aliyepo ng'ambo haoni
 
Makamanda, matokeo yatakayosomwa baada ya October 28 yatawashangaza pengine itabidi mjipange foleni mahospitalini kupima afya baada ya kupata shambulio la moyo. Msijipe matumaini ambayo hayapo kabisa.

Magufuli anashinda kwa asilimia 95% inaonekana hamuelewi kama Thomaso. Tundu lissu kupata kura 500,000 atakuwa amejitahidi sana. Poleni ndiyo ukweli huo japo unauma, subirini kipenga kipigwe mtapoteana kabisa


Kama ni kura za halali hata akipata asilimia 100% ni sawa tu apate ....
 
Habarini wanabodi,

Kwanza naomba nitamke wazi kwamba mimi ni mwanaccm kindakindaki na nimepanga 2025 kuonana na wajumbe.

Naomba niseme wazi kwamba ccm tulikosea kwenye vipaumbele vyetu, tuliegemea upande mmoja zaidi.( ujenzi wa miundombinu zaidi). Ni kweli Rais wetu kafanya mambo mengi sana mazuri na yenye tija kwa Taifa letu ila yote aliyofanya ilitakiwa yaendane na hali ya kiuchumi ya mtanzania mmoja mmoja. Rais wetu angekuwa Rais bora zaidi Duniani kama spidi yake ingeenda sambamba na yafuatayo:

1. Utoaji wa ajira kwa watanzania wanyonge (maskini) ambao wengi wao walisomeshwa na wazazi wao kwa shida kubwa na ndio wamejaa kwenye kada ya kilimo, Uvuvi, Ualimu na majeshi. RAIS ANAPOSEMA NI RAIS WA WANYONGE BILA KUFANYA HAYA ANAFIKIRISHA SANA kwa sababu hao wanyonge aliyofanya mengi hayawanufaishi kabisa ndio maana katika hili hatuna hoja.

Kuwaambia vijana wajiajiri ni kuwakosea sana mana Madaktari na maprofesa waliopo CCM wangekuwa mifano katika hili, pia wabunge wote baada ya kupokea 240M wangekuwa mifano mizuri sana katika hili, lakini wapiiii !! Wote wameenda majimboni kutafuta ajira kwa wananchi pamoja na kwamba wana mitaji.

Juzi Donard Trump alikuwa anajidai kwa kuzalisha ajira 1.5M ndani ya miezi miwili. Hili tunalizungumziaje wana CCM?

HOJA YA AJIRA TUKUBALI TUMEFELI VIBAYA SANA, tumefikia hatua kuwaambia wananchi wajitolee huku majukwaani tukijidai nchi ina pesa na ni tajiri. Vituko kwa kweliii

2. Mishahara kwa wanafanya kazi wa nchi hii. Hapa pia tukubali kwa miaka 5 hatukutenda haki kwa wafanyakazi, tuliwaongopea miaka yote minne labla tulidhani miaka 5 ni mingi sana. UKWELI MCHUNGU HAPA TUSHAUMIA SANA. WANACCM HAPA HATUNA HOJA, TUCHUTAME.

3. Vyeo na madaraja. Tumeshuhudia majeshi yetu yakipewa vyeo na kupanda madaraja kwa kipindi chote cha miaka 5 ila kada zingine tangu 2013/2014 watu hawajapanda madaraja kwa kuwa hakuna pesa, hapa tulikosea sana tungepandisha kidogo kidogo tangu 2015 sa hivi tungekuwa hili tatizo tushalimaliza kabisa. Kwenye kada ya Elimu hiki ni kilio kikuu.

4. HAKI, SHERIA NA WAJIBU, nadhani hatujui kutofautisha hivi vitu vitatu.

5. RUSHWA. Hapa napo CCM hamna kitu tumefeli pia. RUSHWA AKITOA MASKINI AU ASIYE NA JINA, AKITOA TAJIRI AU MWANACCM NI TAKRIMA.

6. Ule msemo wa wanaolalamika ni wezi au wamebanwa kwenye mambo yao ulikuwa wa KUPOTOSHA na kumpoteza Mh: Rais. Wanyonge wengi wa Mh.Rais walikuwa wakilalama hali ngumu WATEULE wake walikuwa wana mwambia hao ni wale MAFISADI uliowatumbua. WASAKATONGE MMETUHARIBIA CHAMA.

Mwisho

Wana CCM tujipange kisawasawa kutengua hoja za wapinzani wana hoja muhimu sana, kamwe huwezi kusifia ujenzi wa miundombinu wakati tumbo lipo tupu (wanufaika wa utawala huu kaeni pembeni kidogo tuokoe chama).

TUSIKOSEE TENA KWENYE ILANI YETU IJE KUMNUFAISHA MTANZANIA MMOJAMMOJA NA SIO PESA ZOTE KWENDA NJE KWENYE UNUNUZI WA NDEGE.

Mwisho kabisa

Tuombe msaada kutoka kwa comrade kinana, Nape na Makamba. Watusaidie mbinu maana tumeshikwa pabaya.

Ahsanteni sana.
Hongera umenena vyema,,,ongezea na anguko la elimu Mana elimu imeshuka sana,,,kwa Mara ya pili naona wanafunzi wakikaa chini,,,huku waheshimiwa wakijipongeza kwamba kila kitu kipo okay.
Big up
 
Siku hizi makamanda wa CHADEMA wanajigeuza na kuwa wanaCCM huku wakitoa eti ushauri na maoni yao!

Unatumia picha ya Marehemu aliyekuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah halafu unajiita mwanaCCM!
Ujumbe umefika tayari na umeelewa,yote kwa yote,ujumbe umetolewa na mtanzania ma sio vinginevyo

Hizi ni propaganda za kitoto sana!
 
Ukiona vijana wasomi waliojitokeza katika kuomba ubunge hiyo Ni dalili ya anguko la ajir katika sekta rasmi na isiyo rasmi.
 
Eti Meko utamsikia, "Tumenunua ndege" mara utamsikia "Tumejenga mafly over" kisha "Tumehamia Dodoma"

Hivi hata tukihamia Dodoma wakati mwananchi wa hapa Utegi anaishi kwa mlo mmoja, tunapata faida gani?

Au hata tukinunua ndege 800 wakati mwalimu wa kule Ng'ong'ona ana utitiri wa madeni yatokanayo na mahitaji ya kila siku ya nyumbani, tutakuwa tumenufaika au tumeathirika?

Magufuli asithubutu kujigamba kwa hivi vitu vyake wakati kampeni za uchaguzi zitakapoanza. Watu hawataki kuvisikia kwani haviwanufaishi walio wengi, badala yake vimesababisha waishi maisha ya kinyama.
Kibaya zaidi flyover zenyewe ni smenti iliyowekwa juu ya barabara iliyopo,hakuna kitu Cha kiwango Cha chini Kama hizo top road Wala siyo flyover,kibaya zaidi ninproject za mkwere.
 
Siku hizi makamanda wa CHADEMA wanajigeuza na kuwa wanaCCM huku wakitoa eti ushauri na maoni yao!

Unatumia picha ya Marehemu aliyekuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah halafu unajiita mwanaCCM!

Hizi ni propaganda za kitoto sana!
Hoja hujibiwa kwa HOJA,lakini kama huna hoja ya kujibu ni busara kukaa kimya.
 
Ndugu zangu tuungane ili kuutokomeza huu utawala wa nguvu ya chuma, saa ya ukombozi ni sasa.
 
Ccm walishazoea kulisha watu matango pori ndo maana akitokea mmoja wao akasema ukweli ataambiwa ni CHADEMA hivyo siwashangai. Akitokea mtu akasema magu ni YESU huyo ndiye mzalendo akitokea mwingine akasema magu ni binadam kama walivyo wengine hakika huyu atafunguliwa kesi ya uhaini.
 
Heshima yako mkuu ww ndio mwana ccm unaejitambua hongera mwenyezi Mungu akupe maisha marefu uzidi kufanikiwa kwa kila ufanyalo make umeongea Akili tupu bravo mkuu kwanini ccm wasiwe kama we we
Habarini wanabodi,

Kwanza naomba nitamke wazi kwamba mimi ni mwanaccm kindakindaki na nimepanga 2025 kuonana na wajumbe.

Naomba niseme wazi kwamba ccm tulikosea kwenye vipaumbele vyetu, tuliegemea upande mmoja zaidi.( ujenzi wa miundombinu zaidi). Ni kweli Rais wetu kafanya mambo mengi sana mazuri na yenye tija kwa Taifa letu ila yote aliyofanya ilitakiwa yaendane na hali ya kiuchumi ya mtanzania mmoja mmoja. Rais wetu angekuwa Rais bora zaidi Duniani kama spidi yake ingeenda sambamba na yafuatayo:

1. Utoaji wa ajira kwa watanzania wanyonge (maskini) ambao wengi wao walisomeshwa na wazazi wao kwa shida kubwa na ndio wamejaa kwenye kada ya kilimo, Uvuvi, Ualimu na majeshi. RAIS ANAPOSEMA NI RAIS WA WANYONGE BILA KUFANYA HAYA ANAFIKIRISHA SANA kwa sababu hao wanyonge aliyofanya mengi hayawanufaishi kabisa ndio maana katika hili hatuna hoja.

Kuwaambia vijana wajiajiri ni kuwakosea sana mana Madaktari na maprofesa waliopo CCM wangekuwa mifano katika hili, pia wabunge wote baada ya kupokea 240M wangekuwa mifano mizuri sana katika hili, lakini wapiiii !! Wote wameenda majimboni kutafuta ajira kwa wananchi pamoja na kwamba wana mitaji.

Juzi Donard Trump alikuwa anajidai kwa kuzalisha ajira 1.5M ndani ya miezi miwili. Hili tunalizungumziaje wana CCM?

HOJA YA AJIRA TUKUBALI TUMEFELI VIBAYA SANA, tumefikia hatua kuwaambia wananchi wajitolee huku majukwaani tukijidai nchi ina pesa na ni tajiri. Vituko kwa kweliii

2. Mishahara kwa wanafanya kazi wa nchi hii. Hapa pia tukubali kwa miaka 5 hatukutenda haki kwa wafanyakazi, tuliwaongopea miaka yote minne labla tulidhani miaka 5 ni mingi sana. UKWELI MCHUNGU HAPA TUSHAUMIA SANA. WANACCM HAPA HATUNA HOJA, TUCHUTAME.

3. Vyeo na madaraja. Tumeshuhudia majeshi yetu yakipewa vyeo na kupanda madaraja kwa kipindi chote cha miaka 5 ila kada zingine tangu 2013/2014 watu hawajapanda madaraja kwa kuwa hakuna pesa, hapa tulikosea sana tungepandisha kidogo kidogo tangu 2015 sa hivi tungekuwa hili tatizo tushalimaliza kabisa. Kwenye kada ya Elimu hiki ni kilio kikuu.

4. HAKI, SHERIA NA WAJIBU, nadhani hatujui kutofautisha hivi vitu vitatu.

5. RUSHWA. Hapa napo CCM hamna kitu tumefeli pia. RUSHWA AKITOA MASKINI AU ASIYE NA JINA, AKITOA TAJIRI AU MWANACCM NI TAKRIMA.

6. Ule msemo wa wanaolalamika ni wezi au wamebanwa kwenye mambo yao ulikuwa wa KUPOTOSHA na kumpoteza Mh: Rais. Wanyonge wengi wa Mh.Rais walikuwa wakilalama hali ngumu WATEULE wake walikuwa wana mwambia hao ni wale MAFISADI uliowatumbua. WASAKATONGE MMETUHARIBIA CHAMA.

Mwisho

Wana CCM tujipange kisawasawa kutengua hoja za wapinzani wana hoja muhimu sana, kamwe huwezi kusifia ujenzi wa miundombinu wakati tumbo lipo tupu (wanufaika wa utawala huu kaeni pembeni kidogo tuokoe chama).

TUSIKOSEE TENA KWENYE ILANI YETU IJE KUMNUFAISHA MTANZANIA MMOJAMMOJA NA SIO PESA ZOTE KWENDA NJE KWENYE UNUNUZI WA NDEGE.

Mwisho kabisa

Tuombe msaada kutoka kwa comrade kinana, Nape na Makamba. Watusaidie mbinu maana tumeshikwa pabaya.

Ahsanteni sana.
 
Back
Top Bottom