Pole mkuu hilo tatizo kitaalam laitwa Oligospermia
Husababishwa na
Joto ........joto hupunguza uzalishaji wa sperm ....ndio maana mapumbu yawanyama( binadamu). yapo nje yananing'inia
Unene ....watu wanene kutokana na kua na mafuta mengi Mara nyingi Husababisha korodan kuzungukwa ma layer ya mafuta ..sasa mafuta huzuia joto lispotee kwaiyo joto Lina harib uzalishaji wasperm.
Kazi zakukaa muda mrefu ..mfan...madereva na maboda boda ...unazalisha joto sanaaa .
Kufanya ngono Mara kwamara .
Uvutaji wa sigara ,,,sigara inaharibu uzalishaji wa sperm na motility yake
,unywaji pombe ,,,pombe hupunguza shahawa nahata hupunguza uzalishaji wa homon ya testesteron .
Mawazo hupunguza uzalishaji wa sperm.
Madawa km erthromycin na gentamycin n.k pia hupunguza sperm count .
MATIBABU .
KM LOW SPERM KWASABUBYA INTERNAL FACTOR KWAMFANO VARICOCELE INABIDI UFANYIWE SURGERY
KM NISABABU YA INFECTIONS NDAN YA URINARY AU REPRODUCTIV TRACT BASI ANTIBIOTICS ZITAHUSIKA.
KM NISABABU YA HOMONE IMBALANCE BASI PIA LAZIMA UTUMIWE MADAWA KWAAJILI YAKUBALANC HORMONE ZAKO.
mwishon wahabar .....
Sema nakushauri embu badili life style yako kwanza ( epuka izo sababu nlotaja hao juu) ALAFU FANYA MAZOEZI HUKU UKIWA UNAKULA WELL BALANCED DIET.
pole sana mkuu.