Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,955
- 8,120
Hakuna kitu kinakela kama kuulizwa utaoa lini?Kila mtu ana maisha yake sisi mabachela hatupendi usumbufu tuna penda Uhuru sasa unaoa halafu unaulizwa huko wapi unafanya nini saivi hupo na nani ukichelewa nafunga mlango mara ukaguliwe simu visa vya hapa na pale..Hayo mambo hatuyataki..Sisi papuchi zetu tunakula na tuna sepa..