nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Zamani tulipokuwa vijana wahindi wengi sana walikuwa wanafanya kazi Bank...hata humu NBC kabla haijavunjwa na kuzaa NMB wahindi walikuwa kibao...kuanzia miaka ile ya 60 mpaka sabini mwishoni wakaanza kupungua...wengi wanafanya biashara zao na wengine walikimbilia CANADA..
uzi tayari..... 🙂 😀 🙂 😀🙂😀
uzi tayari..... 🙂 😀 🙂 😀🙂😀