Ndugu zetu wakenya mwatutia aibu

Utatafuta Google mpaka ikuambie Wacha ujinga!.Tanzania haina mabanda kama Kenya
Hongera sasa! tz iko first world na kenya ina mabanda...πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ statements zingine utadhani watu wanaishi Marekani ila wako tu pale Tandale kwa cyber wamelogin JF...πŸ˜€πŸ˜€
 
kichwa chako kina kasoro...ni kweli mtu anaweza kuwa na Benz na anaishi kwenye hali hii ya madongo poromoka? anyway, tuwachieni slums zetu tuzikabili...haiwahusu ndewe wala sikio.
Kahesabu Benz zizopo kisumu then angalia mwenye Benz anapoishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…