Ndugu zetu wetu wa pwani hii aina ya ukataji viuno wa mabinti ilikuwepo tangu enzi au sasa imekuwa re-generated hadi kupitiliza?

Ndugu zetu wetu wa pwani hii aina ya ukataji viuno wa mabinti ilikuwepo tangu enzi au sasa imekuwa re-generated hadi kupitiliza?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Tangu zamani.
Kwani unadhani amapiano imetokea wapi kama siyo kwa wazaramo?
 
Kwa sisi tutakao nangoromboko vitu kama hivi tumekuwa kuviona huku kwenu.

Mtundiko, baikoko, etc ni design ya ngoma zipatikanazo maeneo ya pwani, zimekuwa na maudhui ya wanawake kukata viuno hadi inakuwa "18+".

Sasa sijui ni mabinti wa siku hizi wameongeza manjonjo hadi kupitiliza au tangu zamani viuno vilikatwa namna hii.


View: https://youtu.be/ZYYSyEHx9Tg?si=gO63H9o3vZvaaxcl


View: https://youtu.be/OXevIZRHZy8?si=Ba7ccmIM4UqB2K0V

Mambo ya Tanga, Pwani na Dar es salaam haya.
 
Back
Top Bottom