NE-YO kutua nchini Tanzania; Kufanya Tamasha Mwanza, Mei 21

nasikiaga nae ni mmojawao wa wapigania haki za binadamu za kimarekani
 
Hivi mkuu wewe uko wapi ........ hii show atapanda jukwaani na huyo msanii aliyefanya nae collabo( DIAMOND) na ukichunguza kwa mbaaaaaaaaaali hawa wanaosema hivi ni wale wenye vinasaba vya "roho mbaya na chuki iliyopitiliza KWA DIAMOND sio NE-YO" Lakini wajue tu kuwa wataona mrejesho ( mipicha picha kibao) hapa hapa jinsi shoo itakavyojaza watu, na hapa tunavyoongea maana yake hao wasanii wameshachukua 50% ya hiyo shoo na siku ya shoo kabla hajaenda jukwaani inamaliziwa salio lililobaki kwahiyo wewe ukiongea hivi TAYARI PESA WATU WAMESHAINGIZIWA KWENYE ACC WEWE HATA UKIONGEA HIVI HUPUNGUZI KITU.
 
Uncle wa tembo amesahaulika kabisa. Lakini uncle pori anajishusha mwenyewe kwa kukosa ubunifu na kuwa na mgt dhaifu.
 
NEYO KASHACHUJA.... WAMLETE DRAKE.. AU MEEK MILLI
 
Baby hebu panga ratiba zako vizuri tuibukie Mwanza hiyo tarehe.
[emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] woyoooooo afadhali mchepuko wangu yule muuza vifuniko vya asali kisha habari yake
 
[emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] woyoooooo afadhali mchepuko wangu yule muuza vifuniko vya asali kisha habari yake
Hiyo show ya mchangani ikiisha ntakupeleka kwenye show za ukweli..Kuwa na subira
 
Hiyo show ya mchangani ikiisha ntakupeleka kwenye show za ukweli..Kuwa na subira
[emoji22] [emoji22] [emoji22] beiby umenipotea mwenzako hadi nashawishika huku
 
[emoji22] [emoji22] [emoji22] beiby umenipotea mwenzako hadi nashawishika huku
Teh teh..Usishawishike..Kuna mazuri mengi yanakuja..Kuwa na imani mtoto mzuri..Sawa
 
Bora wangemleta Busy Signal

Busy Signal - Nightshift / One More Night

Busy Signal - Come Over (Missing You) HD Official Video
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…