NEC - any party rejects results must be removed from electoral process for 10 years

Statement ya kipuuzi na kijinga kabisa, kwa hiyo mkileta vigisu za kupika matokeo watu wakubali kindezindezi tu?
 
A stupid thread of the day.

Rubbish.
 
SIMPLY RUBBISH!

 
CCM mkilala mkiamka Lisu tu
 
Hii NEC inayoendeahwa na makada 7 wa CCM ndio ipate mandate ya kuadhibu a legitimate political party? Kidding!
 
Acha kukurupuka, Tundu Lissu alisema uchaguzi ukiwa wa huru na haki atakubali matokeo. Ila usipokua wa huru na haki hatokubali matokeo.

Kuna kosa hapo??

Utakuta eti na wewe ni msomi wa ngazi ya shahada au zaidi halafu unaanzisha uzi wa kijinga namna hiyo.

SWALI: Unaanzishaje uzi kwa kutumia lugha ya kiingereza wakati kila siku mnawatukana ni mabeberu?
 
Utter nonsense. Unadhani kazi rahisi kufuta chama, kama mnaogopa violent protest kama unavyodai fanyeni haki. Mmeshachokwa ni suala la muda tu.
 
Masikini NEC ya CCM!! Imezoea vyama pinzani wakiyataa matokeo wanamwachia Mungu aamue! Safari hii sasa basi jino kwa jino, you gain or loose. 2020 NEC ndio watakao kuwa punished sijui kama wanalijua hili.
 
Masikini NEC ya CCM!! Imezoea vyama pinzani wakiyataa matokeo wanamwachia Mungu aamue! Safari hii sasa basi jino kwa jino, you gain or loose. 2020 NEC ndio watakao kuwa punished sijui kama wanalijua hili.
 
Wazo la kijinga sana.

Labda wazo lako liende sambamba na tume Huru ndio litaonekana kubalance mizani
 
wameilenga m4c, ulitakiwa iwe kwa vyama vyote no exemption ila ndo target
 
Kiingereza Cha chekechea kabisa hiki [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…