NEC igeni Mfano wa IEBC ya Kenya

NEC igeni Mfano wa IEBC ya Kenya

Tarehe 09.08.2022 taifa la Kenya lilifanya uchaguzi mkuu ili kupata viongozi mbalimbali wa taifa hilo.

Upigaji kura ulifanyika vizuri kwa amani kwa mujibu wa waangalizi wa Kimataifa, kwa muktadha huo naipongeza IEBC yenyewe, serikali na police wa Kenya kwa kutekeleza majukumu yao vizuri.

Jambo muhimu NEC ya Tanzania inalopaswa kujifunza kutoka IEBC ya Kenya ni kuendesha uchaguzi ulio huru na wa haki. Huko Kenya tangu mwanzo hakuna Cha mgombea kutekwa akapoteza form na hapakuwa na mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa hili NEC walichukue.

Jambo jingine ni uwazi wakati wa kutangaza matokeo, NEC iige kuruhusu vyombo vya habari kama ilivyotokea kwa wenzetu huko Kenya, vyombo vya habari viliruhusiwa kutangaza idadi za kura alizopata mgombea wa nafasi fulani katika jimbo fulani.

Hii Itasaidia viongozi wote wenye mamlaka kuogopa kuingilia tume ya Uchaguzi kwani jamii itakuwa inajua idadi ya kura mgombea fulani alizopata katika jimbo fulani hivyo sio rahisi kuzigeuza kuzibadili kura.

Police wa Tanzania wakati wa uchaguzi wawe walinda amani na mali za watu wasigeuke kuwa wapiga kampeni wa viongozi wa Chama kilichopo madarakani.

Mwisho NEC wanapaswa wasiwe waoga wasimamie haki, aliyeshinda atangazwe na aliyeshindwa asitangazwe.
Hakuna cha kuiga toka Kenya kwani Kenya wao walianza na kubadili katiba kwanza ili kujenga mazingira ya utendaji wa IEBC. Kusema kujifunza ni kupoteza wakati na hizi ni kauli za kisiasa zaidi kuliko uhalisia.
 
Tarehe 09.08.2022 taifa la Kenya lilifanya uchaguzi mkuu ili kupata viongozi mbalimbali wa taifa hilo.

Upigaji kura ulifanyika vizuri kwa amani kwa mujibu wa waangalizi wa Kimataifa, kwa muktadha huo naipongeza IEBC yenyewe, serikali na police wa Kenya kwa kutekeleza majukumu yao vizuri.

Jambo muhimu NEC ya Tanzania inalopaswa kujifunza kutoka IEBC ya Kenya ni kuendesha uchaguzi ulio huru na wa haki. Huko Kenya tangu mwanzo hakuna Cha mgombea kutekwa akapoteza form na hapakuwa na mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa hili NEC walichukue.

Jambo jingine ni uwazi wakati wa kutangaza matokeo, NEC iige kuruhusu vyombo vya habari kama ilivyotokea kwa wenzetu huko Kenya, vyombo vya habari viliruhusiwa kutangaza idadi za kura alizopata mgombea wa nafasi fulani katika jimbo fulani.

Hii Itasaidia viongozi wote wenye mamlaka kuogopa kuingilia tume ya Uchaguzi kwani jamii itakuwa inajua idadi ya kura mgombea fulani alizopata katika jimbo fulani hivyo sio rahisi kuzigeuza kuzibadili kura.

Police wa Tanzania wakati wa uchaguzi wawe walinda amani na mali za watu wasigeuke kuwa wapiga kampeni wa viongozi wa Chama kilichopo madarakani.

Mwisho NEC wanapaswa wasiwe waoga wasimamie haki, aliyeshinda atangazwe na aliyeshindwa asitangazwe.
Waige nn? Thubutu 🤣🤣🤣🤣
 
Tarehe 09.08.2022 taifa la Kenya lilifanya uchaguzi mkuu ili kupata viongozi mbalimbali wa taifa hilo.

Upigaji kura ulifanyika vizuri kwa amani kwa mujibu wa waangalizi wa Kimataifa, kwa muktadha huo naipongeza IEBC yenyewe, serikali na police wa Kenya kwa kutekeleza majukumu yao vizuri.

Jambo muhimu NEC ya Tanzania inalopaswa kujifunza kutoka IEBC ya Kenya ni kuendesha uchaguzi ulio huru na wa haki. Huko Kenya tangu mwanzo hakuna Cha mgombea kutekwa akapoteza form na hapakuwa na mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa hili NEC walichukue.

Jambo jingine ni uwazi wakati wa kutangaza matokeo, NEC iige kuruhusu vyombo vya habari kama ilivyotokea kwa wenzetu huko Kenya, vyombo vya habari viliruhusiwa kutangaza idadi za kura alizopata mgombea wa nafasi fulani katika jimbo fulani.

Hii Itasaidia viongozi wote wenye mamlaka kuogopa kuingilia tume ya Uchaguzi kwani jamii itakuwa inajua idadi ya kura mgombea fulani alizopata katika jimbo fulani hivyo sio rahisi kuzigeuza kuzibadili kura.

Police wa Tanzania wakati wa uchaguzi wawe walinda amani na mali za watu wasigeuke kuwa wapiga kampeni wa viongozi wa Chama kilichopo madarakani.

Mwisho NEC wanapaswa wasiwe waoga wasimamie haki, aliyeshinda atangazwe na aliyeshindwa asitangazwe.
Mkuu, wakati mada hii inaonekana kuwa na nia njema kabisa, mimi naamini unapotosha matamanio ya wengi. Sioni cha NEC kujifunza toka IEBC kwa sababu wenzetu wamepitia mchakato sahihi wa mabadiliko ya Katiba yaliyopelekea kuzaliwa kwa IEBC na hivyo hayo mazuri tunayoyaona ni matokeo ya Katiba Mpya.

Sio sahihi kujidanganya kuwa NEC kwa muundo wake inaweza kutenda haki kwani iko hivyo kwa kusudi maalum. Huwa ninashangaa ninaposikia majigambo ya kijinga eti, "wakenya wamejifunza kufanya uchaguzi kwa amani toka kwetu", ama kweli sisi tumerogwa. Hawa hawa wakenya waliopitia mateso makubwa kufika hapo walipo wana lipi la kujifunza kwetu? Ujinga?

Narudia tena, wakenya wamelipa gharama kufika hapo walipo, sisi ndio wenye jukumu la kujifunza toka kwao, jinsi gani haki inatafutwa, jinsi gani mabadiliko ya kweli yanaletwa. IEBC wamepewa nguvu ya kutenda hayo na katiba, sio HISANI kqma tulivyozoea wengine. Hatuhitaji NEC ijifunze lolote toka Kenya, tunahitaji WATANZANIA WOTE wajifunze maana ya demokrasia toka Kenya.

I rest my came
 
Back
Top Bottom