Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kampeni ya kutaka Rais ni aina ya uchochezi dhidi ya Rais aliyeko madarakani, huu ni wakati wagombea wengine wanawashawishi wananchi waachane na aliyeko madarakani wamchague yeye, ukifanya ushawishi huu nje ya wakati wa kampeni ni kosa la uchochezi dhidi ya serikali
NEC inaposema lugha ya uchochezi ni dhahiri kuwashawishi wananchi waachane na aliyepo madarakani kwa kushindwa kuiongoza nchi hivyo wanatakiwa wachukuliwe hatua za kisheria! Vinginevyo wagombea watumie kampeni kumsifu Rais aliyeko madarakani.
NEC hii ni ya Tanzania tu na hawezi kukubalika nchi nyingine kwa mtindo wake huu wa uchaguzi wa vyama tofauti, hasa inapotokea NEC kumlinda mgombea aliyeko madarakani.
NEC inaposema lugha ya uchochezi ni dhahiri kuwashawishi wananchi waachane na aliyepo madarakani kwa kushindwa kuiongoza nchi hivyo wanatakiwa wachukuliwe hatua za kisheria! Vinginevyo wagombea watumie kampeni kumsifu Rais aliyeko madarakani.
NEC hii ni ya Tanzania tu na hawezi kukubalika nchi nyingine kwa mtindo wake huu wa uchaguzi wa vyama tofauti, hasa inapotokea NEC kumlinda mgombea aliyeko madarakani.