Tatizo hawa ndugu wawili CCM A na CCM B(NEC) wamejengea watu dhana kuwa upinzani ni vurugu,matusi,uchochezi ilhali sio kweli hao ndugu wawili wanabebana kuliko kawaida!
Uchochezi ni kusema nitawaingiza watu barabarani. Kutumia vitisho kwamba asiposhinda "patachimbika" na kuongelea watu wengine kuwatuhumu badala ya kujiongelea wewe au mawazo yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.