N Nemganga 1 Member Joined Sep 17, 2020 Posts 5 Reaction score 1 Oct 9, 2020 #21 Proved said: Je wagombea wanaruhusiwa kuingia kuangalia upigaji na uhesabuji wa kura? Au ni mawakala wao tu? Click to expand... Wagombea wanaruhusiwa kuingia katika kituo cha kupiga, kuhesabu na kujumlisha kura. Na sio mawakala wao pekee.
Proved said: Je wagombea wanaruhusiwa kuingia kuangalia upigaji na uhesabuji wa kura? Au ni mawakala wao tu? Click to expand... Wagombea wanaruhusiwa kuingia katika kituo cha kupiga, kuhesabu na kujumlisha kura. Na sio mawakala wao pekee.
Zero Hours JF-Expert Member Joined Apr 1, 2011 Posts 12,942 Reaction score 18,669 Oct 9, 2020 #22 Hivi bado tuna mawaziri?
This is... JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 5,050 Reaction score 5,204 Oct 9, 2020 #23 NAWATAFUNA said: Tume ipo huru sana,yani hapa sasa akuna kisingizio. Click to expand... Ahadi za kujenga barabara na miradi ya maendeleo hazitolewi? Tume iliyo huru imechukua hatua gani kwa JON?
NAWATAFUNA said: Tume ipo huru sana,yani hapa sasa akuna kisingizio. Click to expand... Ahadi za kujenga barabara na miradi ya maendeleo hazitolewi? Tume iliyo huru imechukua hatua gani kwa JON?
C Cliffhanger JF-Expert Member Joined May 22, 2018 Posts 721 Reaction score 1,293 Oct 9, 2020 #24 Inavoelekea mwaka huu mawaziri wataenda kupiga kura wakiwa na vyeo vyao na magari yao ya serikali!
onjwayo JF-Expert Member Joined Apr 8, 2020 Posts 1,356 Reaction score 1,309 Oct 9, 2020 #25 Mbona katazo hili washalivunja siku nyingi tu
Da Gladiator JF-Expert Member Joined Aug 3, 2020 Posts 1,641 Reaction score 2,646 Oct 9, 2020 #26 Kwahiyo mwaka huu walimu wa Shule za Umma hawatasimamia Uchaguzi ?! Maana nao ni wafanyakazi wa Umma.
Kwahiyo mwaka huu walimu wa Shule za Umma hawatasimamia Uchaguzi ?! Maana nao ni wafanyakazi wa Umma.