Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
Haiwezekani nchi nzima wanaokosea kujaza forms ni wagombea wa upinzani, haiwezekani wanazijaza forms vizuri ni wagombea wa ccm tu.Wagombea wa CCM wamesomea shule za nchi tofauti? Wakati NEC na NEC zinatoa semina kwa viongozi wa vyama vyote vya siasa, CCM walikua na semina yao ya tofauti?
Liwake jua inyeshe mvua Mkurugenzi wa NEC Dr Mahela kwa historia yake huko nyuma inaonesha alikua mtiifu kwa chama cha mapinduzi, sina historia vixuri na Jaji Kaijage ila kwa huyu Mahela hata mtoto mdogo anaijua. Hawezi kuacha itikadi yake akaenda kutenda haki katika chombo huru kinachopaswa kutenda haki. Kwanza Dr Mahela siyo mwanasheria tuseme anaweza kutafsiri sheria vizuri, huyu binafsi simkubali kabisa na maamuzi yake.
ANGALIZO KWA ZEC NA NEC
Tunaomba wagombea wote walioengiliwa kwa makosa ya kibinadamu ambayo hayana dhamira ya kujinufaisha warudishwe wote sanduku la kura likaamue. Msilazimishe kitu tusichokitaka na msitegemee kulindwa na Dola kuibeba CCM, kamwe wananchi hawatokubaliana na huu uonevu.
Watu waenguliwe kwa makosa dhahiri kama vile Uraia, jinai na na kutokujiandikisha kupiga kura. Hayo ni makosa ya msingi ambayo mtu hana la kujitetea.
Ni ajabu kumuengua mtu kisa ameandikiwa na Hakimu kifupi cha chama chake, kosa ambalo si lake. Hii siyo sawa hata kidogo tuitetee amani ya taifa.
RAI KWA VIONGOZI WA DINI NA WANAHARAKATI
Niwashauri viongozi wa dini mliokalia huu uovu bila ya kuukemea, mnatenda dhambi kubwa sana na hamtokas kuuona ufalme wa mbingu. Kukalia kimya kitu ambacho.
Liwake jua inyeshe mvua Mkurugenzi wa NEC Dr Mahela kwa historia yake huko nyuma inaonesha alikua mtiifu kwa chama cha mapinduzi, sina historia vixuri na Jaji Kaijage ila kwa huyu Mahela hata mtoto mdogo anaijua. Hawezi kuacha itikadi yake akaenda kutenda haki katika chombo huru kinachopaswa kutenda haki. Kwanza Dr Mahela siyo mwanasheria tuseme anaweza kutafsiri sheria vizuri, huyu binafsi simkubali kabisa na maamuzi yake.
ANGALIZO KWA ZEC NA NEC
Tunaomba wagombea wote walioengiliwa kwa makosa ya kibinadamu ambayo hayana dhamira ya kujinufaisha warudishwe wote sanduku la kura likaamue. Msilazimishe kitu tusichokitaka na msitegemee kulindwa na Dola kuibeba CCM, kamwe wananchi hawatokubaliana na huu uonevu.
Watu waenguliwe kwa makosa dhahiri kama vile Uraia, jinai na na kutokujiandikisha kupiga kura. Hayo ni makosa ya msingi ambayo mtu hana la kujitetea.
Ni ajabu kumuengua mtu kisa ameandikiwa na Hakimu kifupi cha chama chake, kosa ambalo si lake. Hii siyo sawa hata kidogo tuitetee amani ya taifa.
RAI KWA VIONGOZI WA DINI NA WANAHARAKATI
Niwashauri viongozi wa dini mliokalia huu uovu bila ya kuukemea, mnatenda dhambi kubwa sana na hamtokas kuuona ufalme wa mbingu. Kukalia kimya kitu ambacho.