900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
sasa wewe wa jikoni kama hujui kinachoendelea sisi tutakusaidiaje, wasiliana na maherehereNauliza tu kama Tume ya taifa ya uchaguzi imetoa tamko lolote kuhusu wito wa Tume kumtaka Tundu Lisu aripoti Dodoma kujibu tuhuma kadha wa kadha.
Ni muda sasa tangu mkurugenzi wa uchaguzi atutangazie wito huo na saa 48 za kisheria zimeshapita.
Ni hilo tu.
Maendeleo hayana vyama!
Ufipa siyo LisuIlipokelewa pale Ufipa
Ufipa ni mtaa Lisu anasema hajaionaIlipokelewa pale Ufipa
Mgombea mwalimu na mwenye msimamo na maamuzi dhabiti!!!Tangu tumepata uhuru na kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi Hatujawai kuwa na Mgombea Imara shupavu mbobezi na mwenye uwezo mkubwa kama Tundu Lissu.
Hawajui kuwa wanamuongezea umaarufu Lissu Walivyo wapumbafu wanajua wanamkomoa.
NI YEYE.2020
Tume wanavizia vizia namna ya kumpata Lissu ili waweze kumkabidhi barua yao mkono kwa mkono.Lissu sasa hivi hapatikana kirahisi na huo ndiyo msalaba wa tume.
Kama ngoma imemshinda Sirro, huyo bwana mdogo si ndiyo basi kabisa.Nauliza tu kama Tume ya taifa ya uchaguzi imetoa tamko lolote kuhusu wito wa Tume kumtaka Tundu Lisu aripoti Dodoma kujibu tuhuma kadha wa kadha.
Ni muda sasa tangu mkurugenzi wa uchaguzi atutangazie wito huo na saa 48 za kisheria zimeshapita.
Ni hilo tu.
Maendeleo hayana vyama!
Maendeleo yana vyama kwa mujibu wa mgombea mmoja maana usipomchagua hupati maji na huduma nyingine za kijamii kutoka serikalini.Nauliza tu kama Tume ya taifa ya uchaguzi imetoa tamko lolote kuhusu wito wa Tume kumtaka Tundu Lisu aripoti Dodoma kujibu tuhuma kadha wa kadha.
Ni muda sasa tangu mkurugenzi wa uchaguzi atutangazie wito huo na saa 48 za kisheria zimeshapita.
Ni hilo tu.
Maendeleo hayana vyama!