Elections 2010 NEC toeni maelezo ni kivipi matokeo ya Geita na Nyang'hwale yanafanana!

Afadhali. Lakini bado hawajarekebisha kwenye tovuti. Ipi inaprevail kati ya maandishi na maelezo ya mdomo?

Huko ni kuchakachua, walichosoma ndicho walichochakachua kwenye makaratasi, baadaye wakapeleka kwenye tovuti yao ya matokeo yaliyochakachuliwa. Wameumbuka haooooooo!
 
Mtawala mwenye busara huwaelimisha watu wake, utawala wa mtu mwenye akili una utaratibu mzuri. Alivyo mtawala, ndivyo walivyo na maofisa wake; alivyo mkuu ndivyo walivyo na "wakazi" wa nchi yake. Mfalme asiye na nidhamu ni maangamizi kwa watu wake; fanaka ya mji yatokana na maarifa ya viongozi wake.
 


njia ya muongo ni fupi
 
KULA 32,022 JIMBO LA KINONDONI ZIMEPOTEA KWA UCHAKACHUAJI MPOVU JUMLISHA KURA ZA WAGOMBEA WOTE WALIZOPATA + KURA ZILIZOHALIBIKA JUMLA UPATE KURA ZOTE ZILIZOPIGWA Waliojiandikisha/Registered------323714 323,714 Waliopiga kura/voters -------------140487 140,487 Zilizoharibika/invalid votes----------1777 1,777 Mchanganuo/Distributions. CHAMA/PARTY CCM-51,372 51,372 CHADEMA-27,355 27,355 CUF-22,660 22,660 UDP-372 372 DP-210 210 SAU-196 196 NLP-133 133 JAHAZI-119 119 UMD-68 68 UPDP-60 60 TLP-73 73 NRA-70 70 JUMLA YA KULA KWA WAGOMBEA WOTE NI 102,688 JUMLA Zilizoharibika/invalid votes 1777 1,777 JUMLA SIO SAWA NA KURA ZILIZOPIGWA 104,465 WOTE Waliopiga kura/voters 140487 140,487 TOA ZILIZOPIGWA + ZILIZOHALIBIKA 104465 104,465 HIZI HAZIELEWEKI ZIPO WAPI NA ZIMEPIGWA 36,022 JARIBU MFANO HUU KWENYE MAJIMBO MENGINE
 
tukifanya simple maths ktk majimbo yote tutakumbana na maajabu humu kwenye PAYE zetu, good thing is data za pande zote zio acha tuingie chaka tuanze analyse, hapa naona na mdahao wa waadishi wa habari na tume tangu jtat umefungwa! so kazi moja analyisis
 
Tukisema wamechakachua, wanadai tulete ushahidi, tukileta ushahidi wana sema ni kasoro ndogo ndogo. Kisingizio cha kasoro ndogo ndogo ndo kina halalisha ubazazi huu! Hili ni kosa kubwa linalo wezesha uchaguzi urudiwe upya katika eneo husika. Kwao mwizi wa kuku ni kosa kubwa anaenda jela miaka kibao, lakini uharamia wa Benki Kuu (EPA) ni kosa dogo na ni mtu safi mpeni kura! Hii vise versa na double standard iaondoa haki sawa kwa kila raia!
 

Utaratibu ni kupokea matokeo kwa simu ama kwa fomu maalumu? Iweje Tume ikubali marekebisho kwa kutumiwa kwa simu? Ina maana nao wanaweza kuchakachua wakidai wapewa marekebisho kwa njia ya simu tu?
 
yan jaman jamn mbona watu hawamwogopi Mungu kwa kiasi kikubwa namna hiyo??? naamin ipo siku tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…